January Makamba, uliteuliwa ili usimamie ukatwaji wa umeme?

Sijui kwa nini watanzania tunapenda kuscapegoat watu. Sasa January kaondoka, umeme umekuwa wa uhakika ghafla?

Tukubali na tuelewe kuwa tuna gap kubwa sana la miundombinu ya umeme kuanzia generation, transmission hadi distribution na solution ni strategic investment ya hela nyingi sana ambazo hatuwezi kuwa nazo kwa mara moja.

JNHPP wanayosema itatatua shida ya umeme haitomaliza shida za transmission na distribution. Na pia kwa ukuaji wa demand hizo 2100MW zitakuwa occupied tayari by in 3 to 4 yrs at most.

Mpaka tuwe na infrastructure ya uhakika ya umeme, tutahamisha lawama kwa mtu hadi mtu mpaka kiama kifike.
Mbona umeme umeanza kusumbua baada ya yeye kuteuliwa?
 
Kabla la January umeme haukuwahi kukatika?
Ndio maana nimeandika kabla yake umeme haukusumbua kwa karibu 5 good years mkuu...

Kwanini bado unasumbua baada ya yeye kuondoka! ndio tunajiuliza aliharibu kitu gani baada ya kuingia?
 
Ndio maana nimeandika kabla yake umeme haukusumbua kwa karibu 5 good years mkuu...

Kwanini bado unasumbua baada ya yeye kuondoka! ndio tunajiuliza aliharibu kitu gani baada ya kuingia?
Umeme haujawahi kuwa wa uhakika Tanzania hii. Tumia Google uone how many times vyombo vya habari vimereport matatizo ya umeme since 2016 to 2021.

Pia angalia report za CAG za kipindi hicho.

Hawa wanaosema tatizo litaisha after JNHPP nao hawajui shida ni nini?

Biteko jana kasema kuna deficit ya kama 200+MW kutoka kwenye hydro plants tulizo nazo..naye hajui asemalo?
Au January kaziweka 200MW kwenye mkoba kaondoka nazo?

Tatizo sio mtu mmoja brother, mchawi miundombinu. Nchi ya watu 60m hatitakiwi kuwa na installed capacity ya 1900MW. South Africa wana installed capacity ya zaidi ya 10,000MW na wana mgao sisi na 1900MW unategemea waziri akufanyie miujiza?
 
Ndio maana nimeandika kabla yake umeme haukusumbua kwa karibu 5 good years mkuu...

Kwanini bado unasumbua baada ya yeye kuondoka! ndio tunajiuliza aliharibu kitu gani baada ya kuingia?
Umejisahaulisha tu, mgao ulikuwepo ila ilikuwa marufuku kutangaza.
 
Back
Top Bottom