Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Big Man, kujikomba komba ni kufanya jambo fulani au kusema maneno fulani favourable kwa upande fulani au kwa mtu fulani kwa sababu fulani!.pasco ebu nifafanulie maana ya kujikombakomba ? mfano anapotoea mtu humu jf ama katika mtandao wowote akaamua kuandika kila shughuli ya dr slaa huyo ataitwa kuwa anajikomba ? mfano wewe ulipokwenda katika mkutano wa cdm pale jangwani na kuja na maoni yako inamaana kwamba unajikomba kwa cdm ? mimi ninachoamini kwa kila kitu ambacho binadamu utafanya duniani kuna nafasi ya zaidi ya asilimia 75 kuitwa unajikomba na upande tofauti.
Mkuu Mpayukaji, sijakuelewa, ni aliyenituma mimi amenidanganya?!. Na hawa niliyewapendekeza mimi au hawa waliotajwa na Clouds?!. Kama hawafai, jee ni nani sasa wanaofaa?. Hili la mimi kuwa ni fisadi ni kweli!, nilikuwa natumia usafiri wa boda boda sasa natumia bajaj, nitapanda mpaka kutumia Starlet then Corolla then Benzi, the Hammer au Vogue na hapo ndipo sio nitanuka, nitanukia!.Aliyekutuma amekudanganya. Hata kama hao uliowapendekeza hawafai na kama wanafaa ni kwako na wenzako lakini siyo watanzania. Inaonyesha wewe ni fisadi wa kunuka.
Wadau mmesahau ba mwanasha aliingiaje????basi msimshangae na huyo Jr Ma-rope,,,, mnashangaa kwa yeye kupewa ea tym????wakat jk anautaka urais hao power breakfast walimfata kwake na kufanya nae live show,,,mmesahau kuwa clouds huwa wanamwandalia birthday mdau????
Ni mwanasiasa ila bado hakustahili kuingia kwenye top ten. Sio yeye tuu ambaye hastahili, hata No. 8 hakustahili kuwemo kwenye top ten!.
Usichanganye wanasiasa wa jf na wanasiasa wa ukweli. Mfano humu jf kuna vichwa hatari kwenye jukwaa la siasa ila kiukweli sio wanasiasa kabisa. Mfano ni mimi Pasco wa jf, huwa nina coment sana tuu kwenye jukwaa la siasa, lakini kiukweli mimi sio mwanasiasa kabisa, sina chama sio mshabiki, sio mfuasi na sijikombi kombi popote wala kwa yeyete!.
Mkuu Mkandara, kuna jambo muhimu sana umelizungumza mwisho. ...Am not a hater!". Humu jf tuna hatters kibao!. Ukiuliza sababu za hizo hate hakuna!. People humu hates others for no apparent reasons!.Pasco,
Binafsi yangu sioni tatizo kabisa kwani January Makamba he is good way up there ktk interactive level. Sintojali UCCM wa mtu lakini sifa hii lazima tumpe yeye na Zitto wanastahili sana maana achilia mbali kuwepo mtandaoni, magazeti na Tv ukitazama hadi ktk majimbo yao wanasifika kwa hili.
Pengine mtu aloachwa hapa ni Dr Slaa na Le Mutuz ambaye naye kajiunga na siasa za Bongo kwa kishindo hivyo tusifanye kikorosho kana kwamba Makamba atapewa billioni kwa uchaguzi huo ama kuwakilisha Taifa huko UN. Fopr the Interactive politician? - The dude is good trust me, naamini pengine angeweza kuwa mshauri na waziri mzuri sana kwa serikali ya Jk...Am not a hater!
1. January Makamba - CCM
2. Zitto Zuberi Kabwe - CHADEMA
3. Mohamed Dewji -CCM
4. Nape Mnauye -CCM
5. Jakaya Kikwete -CCM (mwenyekiti)
6. Halima Mdee -CHADEMA
7. John Mnyika - CHADEMA
8. Ridhiwan Kikwete - CCM
9. Shyrose Bhanji -CCM
10. Joshua Nasari. - CHADEMA
CCM 6 - CDM 4
Mchuano bado mkali, na CCM inaongoza kwa goli 2 kuelekea 2015.
jamani umaarufu huu unaotafutwa sn na kijana JM tena kwa hoja ni mazalendo na clouds kumtangazia anaongoza kwenye social media anakimbilia wapi huyu? Au ndio nae ana zani atapata zali la kubebwa hadi urais??kwanza si ana certificate tuu huyu ya comflict resolution vp mbona zanzibar hajaonekana si nsio kazi zake???
Jamani ni swali tuu pengine mnaojua jitihada zake vzr anakimbilia wapi na kasi yake hiyo ya popularity....
Wanabodi,
Leo nimepata fursa ya kuangalia Top Ten ya Most Interactive Politicians in Social Media. Mhe. January Makamba ndio amekwaa No. 1!.
Hii ni kwa mujibu wa makala ya Top Ten iliyotangazwa na Clouds TV.
Wengine na positions zao ni kama ifuatavyo...
1. January Makamba
2. Zitto Zuberi Kabwe
3. Mohamed Dewji
4. Nape Mnauye
5. Jakaya Kikwete
6. Halima Mdee
7. John Mnyika
8. Ridhiwan Kikwete
9. Shyrose Bhanji
10. Joshua Nasari.
Swali ni jee wote wanastahili hizo nafasi walizopangwa?. Kina nani walistahili na wameachwa?. Jee kina nani hawakustahili nafasi walizoshika au hata kuingizwa huku hawakistahili?.
Pasco.
Kwanza sio N/Waziri wa media yeye ni wa Mawasiliano!. Zamani ndio ilikuwa Habari na Mawasiliano, sasa Habari iko na Utamaduni na Michezo halafu Mawasiliano iko na Sayansi na Technolojia!.
Kwenye hilo la Clouds, January hajajitaja, ametajwa, ila pia kwenye kugombea urais wa CCM 2025 baada ya likizo fupi ya miaka 10!, January is the best that CCM has!.