Waziri wa madini
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 379
- 465
Aguswe mara ngapi?isue ya mifuko katoboa nyavu! Asubiri ndoano nyingine yajaMnataka nae aguswe?
Tasi anaenda kuwa mfalme wa bahari sababu samaki wote wamekubali kipaji chake atatusua tuWengine nawateua ili niwatengue, subiri siku zake zaje,kuna wakati alinaswa ila alikuwa hafai kwa kitoe,sasa siku zake zinahesabika
Tasi anaenda kuwa mfalme wa bahari sababu samaki wote wamekubali kipaji chake atatusua tu