King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,643
- 68,590
Ilitakiwa kuunganishiwa umeme iwe bure kabisa,why nilipie Meter,nguzo? Mimi nataka huduma hata ukiniletewa Umeme kwa wireless ni sawa,kama hauwezi una niletea kwa nguzo basi gharama ilitakiwa agharamikie TANESCO na si mteja....Unaweka meter kwa ajili ya kumanage mapato yako sasa inakuwaje gharama ya meter ije kwangu wakati ni kwa faida ya tanesco?