Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
"Kuhusu Sheria ya Makosa ya Mitandao ya Mwaka 2015, Sikuhusika katika mchakato wa utungwaji kwa sababu Nlikuwa Naibu Waziri Mawasiliano, na mchakato ulihusisha wataalamu wa wizara, makatibu wakuu, mawaziri, Mimi sikuwa miongoni mwa makundi hayo."
-January Makamba
-January Makamba