January Makamba na Henry Shekiffu walinikimbia kwenye mahafali!

Civilian Coin

JF-Expert Member
Dec 2, 2012
2,305
4,332
Tarehe 8/12/2012 siku ya jumamosi ilikuwa ni siku ya mahafali ya chuo kikuu kishiriki cha Tumaini cha Sebastian Kolowa, kilichopo Lushoto, Tanga.

Katika mahafali hayo mimi nilikuwa mhitimu mmojawapo wa mwaka huu. Mgeni rasmi alikuwa ni Rais mstaafu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania ndugu Benjamin Mkapa.

Namshukru Mungu kwa kuniwezesha kumaliza masomo yangu japo kuwa nimekoswakoswa mara nyingi kufukuzwa chuo, Mungu aliniongoza nakila nilipo kuwa na pewa barua za tuhuma nilizijibu kwa makini sana japo wapo wenzangu ambao hawakumaliza chuo.

Nawashukru waandishi wa habari ambao kwa kiasi kikubwa walikuwa wakinifuatilia utaratibu wa masomo yangu na maisha yangu ya chuo kwa muda wote mpaka na maliza.

Ndugu yangu Januari Makamba Mbunge wa Jimbo la Bumbuli ambaye kwa sasa ni Waziri na Mpinzani wangu mkuu ambaye nilichuana naye uchaguzi mkuu wa ubunge 2010 ndugu yangu Henry Shekifu mbunge wa jimbo la Lushoto hawakufika kwenye tafrija yangu ndogo baada ya mahafali na hata kwenye mahafali yenyewe sikuwaona. Kama wabunge wanapunguza CREDIT kwa wananchi kwa kutokutokea maeneo mhimu kama haya.

Kwasababu mimi ni mpinzani wao huenda walishindwa kufika kwa kuniogopa maana ndio Rais wao ajaye wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kiukweli inanipa picha kuwa Mungu anampango wake juu yangu.


DEOGRATIUS KISANDU
Katibu wa Baraza la Vijana wa Chadema mkoa wa TangaView attachment 74490View attachment 74491
 
Kama Chadema ndio inategemea vijana kama hawa basi ni bora mtu uwe CCM tu ujuwe moja kwamba huwezi kutoka kwenye kambi ya wapuuzi nafuu then ukaamia kambi ya wapuuzi zaidi.

Huyu eti ni kijana wa Chadema analazimisha January Makamba ahudhurie Mahafari yake kana kwamba kuhudhuria sherehe ni lazima, pili kwenye hayo Mahafari wewe si muhitimu peke yako, je ni kwa nini asihudhurie kwenye tafrija za wengine wanaompendeza yeye wewe unalazimishe akujuwe wakati yeye kwake wewe anakuona ni takataka?

Na ndio leo nasikia kwamba January Makamba alikuwa na mpinzani Bumburi, lakini kwa kumukumbu zangu na rekodi za NEC ni kwamba January alipita Ubunge moja kwa moja bila kupigiwa kura na Wananchi.

Angalizo: Umaarufu haulazimishwi ila kama unausaka kwa nguvu unaweza ukajiunga na makundi ya Mashoga au vuwa nguo hadharani unaweza kuupata umaarufu kwa haraka zaidi kuliko style hii unayokuja nayo. watu makini tunakuona zuzu tu.
 
Tarehe 8/12/2012 siku ya jumamosi ilikuwa ni siku ya mahafali ya chuo kikuu kishiriki cha Tumaini cha Sebastian Kolowa, kilichopo Lushoto, Tanga.

Katika mahafali hayo mimi nilikuwa mhitimu mmojawapo wa mwaka huu. Mgeni rasmi alikuwa ni Rais mstaafu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania ndugu Benjamin Mkapa.

Namshukru Mungu kwa kuniwezesha kumaliza masomo yangu japo kuwa nimekoswakoswa mara nyingi kufukuzwa chuo, Mungu aliniongoza nakila nilipo kuwa na pewa barua za tuhuma nilizijibu kwa makini sana japo wapo wenzangu ambao hawakumaliza chuo.

Nawashukru waandishi wa habari ambao kwa kiasi kikubwa walikuwa wakinifuatilia utaratibu wa masomo yangu na maisha yangu ya chuo kwa muda wote mpaka na maliza.

Ndugu yangu Januari Makamba Mbunge wa Jimbo la Bumbuli ambaye kwa sasa ni Waziri na Mpinzani wangu mkuu ambaye nilichuana naye uchaguzi mkuu wa ubunge 2010 ndugu yangu Henry Shekifu mbunge wa jimbo la Lushoto hawakufika kwenye tafrija yangu ndogo baada ya mahafali na hata kwenye mahafali yenyewe sikuwaona. Kama wabunge wanapunguza CREDIT kwa wananchi kwa kutokutokea maeneo mhimu kama haya.

Kwasababu mimi ni mpinzani wao huenda walishindwa kufika kwa kuniogopa maana ndio Rais wao ajaye wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kiukweli inanipa picha kuwa Mungu anampango wake juu yangu.


DEOGRATIUS KISANDU
Katibu wa Baraza la Vijana wa Chadema mkoa wa TangaView attachment 74490View attachment 74491

hili jamaa vip?,yan majitu mengine 0 kwel..by the way wu a u?
 
Inaonekana wazi hoja hiyo inatokana na hisia binafsi,kwani ukweli kuhusu kutokufika kwa hao waalikwa haujautambua.sasa sijui unataka maoni gani? Au na sisi tuanze kuhasi kama wewe/////
 
Hayatuhusu. Halafu msituharibie siku. Hicho chuo cha sebastini kulowa ndio sekondari gani hiyo? eti nimemaliza chuo!!! huna hata aibu. Taja vyuo vinavyoeleweka sio kututajia vyuo uchwara, vyenye kiwango duni cha elimu.
 
mtoa maada kaongelea kwamba Februar akiwa ni mtu wa tanga na ameanzisha mpaka foundation ya kuleta maendeleo bumbuli and ze like basi likuwa ni nafasi muufaka ya kutukuza maendeleo hayo kwa kuhudhuria vitu kama hivyo vilivyo katika mkoa anao toka, na sawa sawa kwa Henry Shekifu, , na piakama watu wanaotoka sehemu moja licha ya tofauti tulizo nazo basi ni vizuri kupena mkono wa heri na baraka. kwani leo hii yeyote atakaye fanya jambo la maendeleo impact itaenda mbali zaidi.
 
dizaini cjakuelewa hebu wajibu kwanza hao raia hapo juu labda nitakuelewa
 
mtoa maada kaongelea kwamba Februar akiwa ni mtu wa tanga na ameanzisha mpaka foundation ya kuleta maendeleo bumbuli and ze like basi likuwa ni nafasi muufaka ya kutukuza maendeleo hayo kwa kuhudhuria vitu kama hivyo vilivyo katika mkoa anao toka, na sawa sawa kwa Henry Shekifu, , na piakama watu wanaotoka sehemu moja licha ya tofauti tulizo nazo basi ni vizuri kupena mkono wa heri na baraka. kwani leo hii yeyote atakaye fanya jambo la maendeleo impact itaenda mbali zaidi.
wewe kila mahafali unahudhuria?
 
rais ajae wa wapi mkuu?
mbona unakimbilia urais badala ya kuwaza
kuwakomboa wananchi wa jimbo lako hata kuwa diwani au mhamasishaji
wao ili waondokane na utawala wa chama chetu?
ndio umemaliza kadigirii kamoja tu unawaza urais?
hiyo elimu ueitumiaje kumkomboa mtanzania?
tulizana kwanza sio mambo ya kuwaza urais
labda urais wa kijiji chako ulichozaliwa
 
Ha!!! we mgonjwa wa akili nini?.
Nawaonea huruma sana ma lecturer wako kwa kazi ngumu uliyowapa to teach a great borgus.
 
Tarehe 8/12/2012 siku ya jumamosi ilikuwa ni siku ya mahafali ya chuo kikuu kishiriki cha Tumaini cha Sebastian Kolowa, kilichopo Lushoto, Tanga.

Katika mahafali hayo mimi nilikuwa mhitimu mmojawapo wa mwaka huu. Mgeni rasmi alikuwa ni Rais mstaafu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania ndugu Benjamin Mkapa.

Namshukru Mungu kwa kuniwezesha kumaliza masomo yangu japo kuwa nimekoswakoswa mara nyingi kufukuzwa chuo, Mungu aliniongoza nakila nilipo kuwa na pewa barua za tuhuma nilizijibu kwa makini sana japo wapo wenzangu ambao hawakumaliza chuo.

Nawashukru waandishi wa habari ambao kwa kiasi kikubwa walikuwa wakinifuatilia utaratibu wa masomo yangu na maisha yangu ya chuo kwa muda wote mpaka na maliza.

Ndugu yangu Januari Makamba Mbunge wa Jimbo la Bumbuli ambaye kwa sasa ni Waziri na Mpinzani wangu mkuu ambaye nilichuana naye uchaguzi mkuu wa ubunge 2010 ndugu yangu Henry Shekifu mbunge wa jimbo la Lushoto hawakufika kwenye tafrija yangu ndogo baada ya mahafali na hata kwenye mahafali yenyewe sikuwaona. Kama wabunge wanapunguza CREDIT kwa wananchi kwa kutokutokea maeneo mhimu kama haya.

Kwasababu mimi ni mpinzani wao huenda walishindwa kufika kwa kuniogopa maana ndio Rais wao ajaye wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kiukweli inanipa picha kuwa Mungu anampango wake juu yangu.


DEOGRATIUS KISANDU
Katibu wa Baraza la Vijana wa Chadema mkoa wa TangaView attachment 74490View attachment 74491

Kwani wewe ni hadi waje? au kwakuwa unajiita Raisi mtalajiwa.
 
Kwa hicho chuo bwana mdogo huwezi ongoza hii nchi maisha yako yote labda upitie pale monduli halafu uingie mtaani...vinginevyo pole sana!!!
 
We kweli hamnazo,ulikuwa unasomea degree ya nini wewe kada? ficha upumbavu wako. Waje kama nani? Acha kuongozwa na hisia za infiriority complex. Mnyika njoo uone kijana wako anaaibisha chama huku.
 
Kama Chadema ndio inategemea vijana kama hawa basi ni bora mtu uwe CCM tu ujuwe moja kwamba huwezi kutoka kwenye kambi ya wapuuzi nafuu then ukaamia kambi ya wapuuzi zaidi....

Kuna tofauti na umaarufu unaotafutwa kwa njia hii hapa kwenye picha? Kama Ndege wa Jamii Moja Huruka Pamoja, na Watu wenye mawazo sawa hukaa pamoja. Kisandu anastahili kwenda kuishi na hawa wapenda mbwembwe!
12210_10151534580468243_1030950183_n.jpg

gmsll.jpg
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom