January Makamba kwanini umezira?

SONGOKA

JF-Expert Member
Mar 8, 2012
1,843
1,841
Si report ya kwanza wala ya pili ya makinikia niliyomuona ndugu January Makamba katika viwanja vya ikulu. Nilijaribu kwelikweli kuangaza lakini sikumuona kabisaa

Lakini nimesubili saana walau kusikia msimamo wake hasa ukizingatia makinikia yanachangia sana kuharibu mazingira, lakini waapi

nikasema labda ataibukia Bungeni kulizungumzia lakini wapi

hii hali ikawasha taa nyekundu, nikaona nizame kwenye kumbukumbu zangu kuona kama kuna tukio lolote alilofanya Mh Rais na Makamba akaibuka kumpongeza, HUKO PIA NIMEAMBULIA PATUPU

toka Mh rais alipopiga marufuku sherehe za uhuru, akatembelea bandarini, akatumbua mafisadi, akanunua bomberdier, akazindua fly over, akamtumbua mkurugenzi wa tanesco, akamtetea bashite, akaunda tume za makinikia, mpaka amekabidhiwa report, na mwisho hadi barric wamekubli kutulipa bado MAKAMBA HAJAONA LA KUPONGEZA wala LA KUZUNGUMZIA

HM MAKAMBA kwa nini UMEZIRA,
 
Kama ni kukaa kimya tu na "kutopongeza" hata visivyostahili, wengi watakuwa wamezira. Ni wengi tu mbona hawashtuki na hatua zinachochukuliwa?.
 
Si report ya kwanza wala ya pili ya makinikia niliyomuona ndugu January Makamba katika viwanja vya ikulu. Nilijaribu kwelikweli kuangaza lakini sikumuona kabisaa

Lakini nimesubili saana walau kusikia msimamo wake hasa ukizingatia makinikia yanachangia sana kuharibu mazingira, lakini waapi

nikasema labda ataibukia Bungeni kulizungumzia lakini wapi

hii hali ikawasha taa nyekundu, nikaona nizame kwenye kumbukumbu zangu kuona kama kuna tukio lolote alilofanya Mh Rais na Makamba akaibuka kumpongeza, HUKO PIA NIMEAMBULIA PATUPU

toka Mh rais alipopiga marufuku sherehe za uhuru, akatembelea bandarini, akatumbua mafisadi, akanunua bomberdier, akazindua fly over, akamtumbua mkurugenzi wa tanesco, akamtetea bashite, akaunda tume za makinikia, mpaka amekabidhiwa report, na mwisho hadi barric wamekubli kutulipa bado MAKAMBA HAJAONA LA KUPONGEZA wala LA KUZUNGUMZIA

HM MAKAMBA kwa nini UMEZIRA,
Uwenda amesoma alama za nyakati nakugunduwa kuja kuwa Rais na kwa mwendo wa Magu bora arudi kulima maana hana ata nucta ya chembe yakufanya kwa watanzania ikizingatiwa kuwa pia yupo kwenye list yakule na uwenda siku zake anaziesabu kama...
 
Hata uwanjani sio washangiliaji wote wanaingia uwanjani, wengine wako majukwaani wanashangilia.... anashangilia kwa kutokea mbali... :D:D:D:D
 
anakula kimya kimya wewe..

ila hata ziara anafanya kweli?
 
c87275e56827284e1fdecbd361cd4463.jpg


Kapost juzi hii haya semeni lingine nyie mbunyu.
 
Teh teh.....labda anajua tume zitakazoaundwa baadae (awamu ya sita) zitamtaja yeye kuwa anastahili kuadhibiwa kwa makosa ya utawala huu lakini aliyeukuwa mwenyekiti wake hataadhibiwa kwa kuwa hatatajwa popote kwenye ripoti.
 
Kwa mtu mwenye busara kwa uongozi huu na aina yake ni vyema ukaka kimya ukiangalia mwisho ni nini!!! Maana uongozi ni busara na hekima si mabavu na kejeri ukiona mabavu ni mengi kuliko busara ni vyema ukae uangalie ili upate kujifunza na kuona mchezo vizuri.
 
Back
Top Bottom