remon
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 295
- 48
Ndy shida ya watoto wa nje a.k.a watoto wa offside!!! tunajua wanajianda kuja kuanzisha vurugu endapo watashindwa, naomba huyo manyuzi aelewe mungu huwa hapingwi , na nguvu ya uma inapoamua kufanya mabadiliko yatakuwa tu angalia misri, angalia tunisia na kma anabisha asubiri, nchi hii haiendeshwi kifalme au kichifu. CCM chini chini chini zaidi