minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 21,640
- 20,366
Alidhani watu hawatabaini fumbo lake huko alipo kama anaingia JF atakuwa amezimia maana wengi wamempa makavu live.Eti ndio aliingia tano Bora na kumwacha Bilali, Pinda, Augustino Ramadhani nje kwenye Kinyanganyiro cha uraisi
yaani hiyo ya ngazi eti jamaa badala ya kupanda na kutoka nje ameamua kuivunja ngazi na kuifanya kuni, vijembe vya uswazi kabisa, au Magufuli kamuacha kwenye baraza lake?