kama sio UDP,CHAUMA basi wewe CUF...........
umekosea ni CHAUMWA
kama sio UDP,CHAUMA basi wewe CUF...........
Huyu Fundikira namjua mtoto si lisziki huyu atakuwa chakula ya JANUARY.
Iam opposition member but i will vote for him... Gooo makamba 2015!!!!
.....hahahahaha,,huyu dogo boya tu..kavamia humu...karibu jukwaani! bwana fundikira ! post yako ya kwanza unampigia debe JM
...duh..kweli unamjua...alikua SASATEL...akenda CLOUDS FM..akaenda ARUSHA...(kote huko kafukuzwa)...kuna kipindi alikua anshinda tu Samaki Samaki MBezi..anapigia debe EPIQ Nation...hana loloteHuyu Fundikira namjua mtoto si lisziki huyu atakuwa chakula ya JANUARY.
hata wamsimamishe nani! SIPIGII KURA CCM 2015! PERIOD! KAMA HAKUNA CHAMA CHA UPINZANI NI BORA NILALE HOME!
mbona majina yao fundikila wana busara sana, lakini wewe namashaka kidogo labda huu mgomo wa drs umeikumba hospital ya mirembe pia, mpaka imetoroka, uwezi kuja kuleta hoja yako hapa bila kusema sababu zinazokufanya umuunge mkono jamaa yako.
Iam opposition member but i will vote for him... Gooo makamba 2015!!!!