katika harakati za viongozi wa CCM wilaya Lushoto kumnadi Bwana Januari Makamba na kuwashawishi wananchi kumchagua, kampeni za kabla ya wakati zinaendelea ikiwa ni pamoja na vipepelushi vyenye jina la ofisi ya raisi kutumika.
namba iliyokuwepo kwenye kipepelushi ni ya Mwenyekiti wa UVCCM bwana Ramadhani Mahanyu ambaye ndie mpiga debe kubwa wa Bwana January.
wanachama wengi wamelalamikia ukiukwaji wa kanuni za chama juu ya kumnadi mgombea mmoja kabla ya wakati na kuashiria uchaguzi hautakuwa wa haki na usawa maana inaonekana chama kinashinikiza mtoto wa bosi wao ndio awe mbunge...
wananchi ndio watakaoamua...
namba iliyokuwepo kwenye kipepelushi ni ya Mwenyekiti wa UVCCM bwana Ramadhani Mahanyu ambaye ndie mpiga debe kubwa wa Bwana January.
wanachama wengi wamelalamikia ukiukwaji wa kanuni za chama juu ya kumnadi mgombea mmoja kabla ya wakati na kuashiria uchaguzi hautakuwa wa haki na usawa maana inaonekana chama kinashinikiza mtoto wa bosi wao ndio awe mbunge...
wananchi ndio watakaoamua...