johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,616
- 141,446
January Makamba anasema mwaka 2015 kwenye kura za ubunge alifaulu kwa 84% na mwaka huu baada ya kufanya kazi kubwa jimboni alitegemea kufaulu kwa 90%.
Lakini kwa bahati mbaya kwa yale yaliyotokea amejikuta tayari amepitishwa kuwa mbunge jambo ambalo halimpi fahari yoyote kama mwanasiasa " hai".
January amesema hayo kupitia ukurasa wake wa Twitter.
My take: January kupitishwa bila kupingwa ni ufaulu wa % ngapi?
Maendeleo hayana vyama!
Lakini kwa bahati mbaya kwa yale yaliyotokea amejikuta tayari amepitishwa kuwa mbunge jambo ambalo halimpi fahari yoyote kama mwanasiasa " hai".
January amesema hayo kupitia ukurasa wake wa Twitter.
My take: January kupitishwa bila kupingwa ni ufaulu wa % ngapi?
Maendeleo hayana vyama!