Uchaguzi 2020 January Makamba asikitika kupitishwa bila kupingwa, atamani angechaguliwa na Wananchi wa Bumbuli

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,616
141,446
January Makamba anasema mwaka 2015 kwenye kura za ubunge alifaulu kwa 84% na mwaka huu baada ya kufanya kazi kubwa jimboni alitegemea kufaulu kwa 90%.

Lakini kwa bahati mbaya kwa yale yaliyotokea amejikuta tayari amepitishwa kuwa mbunge jambo ambalo halimpi fahari yoyote kama mwanasiasa " hai".

January amesema hayo kupitia ukurasa wake wa Twitter.

My take: January kupitishwa bila kupingwa ni ufaulu wa % ngapi?

Maendeleo hayana vyama!
 
Mambo mengine yanachekesha na kuhuzunisha sana.Iko siku watapatikana viongozi wenye akili timamu watakatupilia mbali sheria,taratibu na makanuni ya ovyo yasiyosaidia taifa zaidi yakupoteza muda kuwekeana vikwazo na mapingamizi yasiyo na maana badala yakufanya kazi.
Hata wao wenyewe wameanza kuona aibu ..
Refa kaharibu mechi

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
 
Kwahio wajumbe wachache wa Chama pamoja na Chama cha Siasa ndio kinachagulia kiongozi jamii nzima ?, Ni wakati muafaka kuleta mgombea binafsi na kuweka limit kwenye matumizi ya pesa kwenye kampeni...
Ulevi wa madaraka kiasi linajitokeza tabaka la watu wachache kuamini wao Ndio wenye highest supreme power
 
'Nahisi' Mchezo uliofanyika mwaka huu Nchi nzima hasa kwny majimbo yote ya watoto wa Mjini ilikuwa ni 'kukaa mezani' na wapinzani wako na kuwaomba wakosee kujaza fomu za uteuzi then wanawekeana Pingamizi wao kwa wao mwishowe wote wanakatwa unabaki peke yako
 
QUOTE="johnthebaptist, post: 36524575, member: 228646"]
January Makamba anasema mwaka 2015 kwenye kura za ubunge alifaulu kwa 84% na mwaka huu baada ya kufanya kazi kubwa jimboni alitegemea kufaulu kwa 90%.

Lakini kwa bahati mbaya kwa yale yaliyotokea amejikuta tayari amepitishwa kuwa mbunge jambo ambalo halimpi fahari yoyote kama mwanasiasa " hai".

January amesema hayo kupitia ukurasa wake wa Twitter.

My take; January kupitishwa bila kupingwa ni ufaulu wa % ngapi?

Maendeleo hayana vyama!
[/QUO
Hata mwalimu nyerere hakuwa kupita bila kupingwa. January makamba unachosema uko sawa
 
'Nahisi' Mchezo uliofanyika mwaka huu Nchi nzima hasa kwny majimbo yote ya watoto wa Mjini ilikuwa ni 'kukaa mezani' na wapinzani wako na kuwaomba wakosee kujaza fomu za uteuzi then wanawekeana Pingamizi wao kwa wao mwishowe wote wanakatwa unabaki peke yako
Nakubaliana na wewe kabisa...... Mtu kama Devotha Minja hawezi kukataa " mzigo" wa Aboud wakati anajua uchaguzi hashindi!
 
Back
Top Bottom