source: Majirapg4
Usiwe muvivu tafuta gzt majira leo au mwananchi.Wewe upo nchi gani mpaka unasema nani kaniambia?Au wewe ni Ngeleja?Mwamakula, lini, wapi, kwa nini.
Ulichotupa ni nani kakuambia basi, tuomba majibu ya hayo maswali hapo juu.
dogo wa ukweliMakamba alimutimua Ngeleja kwenye kikao cha kamati baada ya kukaidi agizo la kuleta Mikataba ya uchimbaji madini Uranium
Usiwe muvivu tafuta gzt majira leo au mwananchi.Wewe upo nchi gani mpaka unasema nani kaniambia?Au wewe ni Ngeleja?
Nakumbuka Wakati wa salamu za mwaka mpya Ngeleja aliwaamba waumini na Askofu kanisa la African Inland church kumuombea .
Hii nayo ni thread? basi kazi ipo kweli tunao magreat Thinkers.Makamba alimutimua Ngeleja kwenye kikao cha kamati baada ya kukaidi agizo la kuleta Mikataba ya uchimbaji madini Uranium