Ahmad Abdurahman
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 3,248
- 6,264
Mjinga sana mleta mada. Anashindwa kutofautisha msimamo wa serikali na msimamo au maoni binafsi. Serikali, taasisi au umma ukishaamua kufanya jambo hata kama kiongozi fulani hapendezeshwi na hilo jambo hana budi kulifanya kwa ajili ya wengine.Hayo ya kupinga matumizi ya hilo bwawa ni mtazamo wake binafsi.
January ameapa kufanya kazi kwa kufuata sheria na katiba ya nchi na hajaapa kufuata maoni na mawazo yake binafsi.