usitetee usichokijua. ili ujue nimesoma Galanos headmaster alikuwa kinala, second mistress alikuwa mama msemwa. matokea yalipotoka January Makamba matokeo yake yalifutwa. Headmaster Kinala alitutangazia parade kuwa alifanya cheating ndio maana matokeo yakafutwa na akaonya watu wenye tabia hizo. Ninashangaa mtu anasema ni rumour ina maana mkuu wa shule alikuwa anazungumza kwa rumour? najua january nitamkamatia wapi. akipata uwaziri tu ndio nazungumza na waandishi wa habari. hatuwezi kuongozwa na wezi wa pa
Ni kweli kabisa hata yeye mwenyewe JM amekubali katika hiyo web site yake lakini ametumia maneno ya kisiasa tu kulembalemba, I quote him " And, to the shock of friends and family and teachers, my name was not there in the results sheet. I felt like collapsing. I went to another result centre thinking that there was a mistake again, nothing. Inquiries to the reasons were not responded to immediately. Later we learnt that I was mistakenly linked to a cheating scam that one of the te
http://www.google.com
Mbona kwenye website yake hajaonyesha wenyeji wake USA walikuwa watoto wa Mzee William Shelukindo the former Bumbuli MP, na bila aibu akaanza kupoiga kampeni kabla ya mchakato wa uchaguzi kuanza na Mzee Shelukindo ALIPORIPOTI ccm Makamba alichuna bila kujibu wala kuact kuhusiana na tuhuma hzo.
lol. Divine comedy. Daamn!
It is what it is Braa. Popularity contest or not. The beauty of anonymity in these online hating tanks, is you are allowed to do just that, hate. It is amazing how can folks in here be content with themselves. Content at their intellectual dishonesty just because they are in front of kioo expressing their anonymous duties.
Ahh kwani, sio ishu. Let me chill with my chalwa baana. Nyie virtual people endeleeni kudiscuss hypotheticals.
kwani wewe ulikuwa wapi wakati matokeo yanatangazwa?
Jm huyu hapa
Lete evidence bana! hapana sema ongo hapa bana!Mbona Freeman Mbowe kafukuzwa University kwa wizi na plagiarism kule UK na alitaka awe RAIS wa TANZANIA
Same page about WHAT?Haya bwana. IshaAllah siku itafika tu tutakuwa kwene same page.
Siku zote alikuwa wapi? minding his own biz..wewe ulitaka ailete lini? unamlipa mshahara au kumlipia broadband?whoever started this got issues....unajua kikwetu tunasemaje?.."Alikwina"...siku zote ulikuwa wapi unakuja na uzushi huu leo...acha kushabikia kivuli dogooooo!.....Move over...
Ingia hapa usome kilichotokea, instead of smearing nasty rumors babu. January Makamba.com
whoever started this got issues....unajua kikwetu tunasemaje?.."Alikwina"...siku zote ulikuwa wapi unakuja na uzushi huu leo...acha kushabikia kivuli dogooooo!.....Move over...