Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Ha ha haaa..... magufuli anatakiwa ajue watu wanaomzungukaHii issue ya uhakiki hii bora wangestopisha tu maaana tunakolekea siyo
Ha ha haaa..... magufuli anatakiwa ajue watu wanaomzungukaHii issue ya uhakiki hii bora wangestopisha tu maaana tunakolekea siyo
Kutoka wizi wa mitihani hadi kuingia kwenye mission za wizi wa kura za uchaguzi
Ha ha ha !!! Huyu dogo mishe mishe kazianza kitambo sana duh!Huyu jamaa tapeli sana.
umesahau ile ya kumtapeli muitaliano kwaahadi za uongo...
AiseeeeUlikuwa hujuwi?
Unashangaa leo?!
Watoto wa Vigogo serikalini 80% ni vichwa maji! Mashuleni wanachemka vibaya, wanaenda private xuls, wanapewa mitihani! Vyuo vikuu ni nje ya nchi!
Aliweka maelezo kwenye website yake!!Mbona hakukanusha kama mwenzie...mwizi wa pepa
ok alikamatwa akafutiwa matokeo..kama una ushahidi mpya peleka Necta Nacte au polisi. Jamaa anaonekana kupose na muigizaji.Mimi nimesoma na JM pale Galanos sec Tanga mwanzoni wa miaka ya tisini. Huyu bwana matokeo yake ya form four yalifutwa baada ya kugundulika aliiba paper. Baada ya hapo baba yake akamfanyia mpango kwenye shule nyingine nadhani Forest. Wezi wa paper ndio leo wanashika nchi unategemea nini? Kama JM ana ubavu abishe.
Wilaya gani hyo.. hii ni makubaliano na mkuu wa shule tu.Kwa ambao hawakuwa wamefaulu walikuwa wanaweza kurudia darasa kwa kibali maalum kutoka wilayani.
Sasa ww ulisoma nae tena baada ya kufutwa ww ukatangaziwa. Na. Mwl mkuu??Haya JM ni waziri sasa
Msimamizi alivyomkamata JM alidumbukiza yake makaratasi vibomu kwenye paper za mshkaji kama necta wanavyotaka .. Basi ndio hivyo wengine hawahusikiWilaya gani hyo.. hii ni makubaliano na mkuu wa shule tu.
Hakuna njia nyingine na hii ilikuwa inatolewa nafasi bure ilikusaidia shule ipate wanafunz wakufalu.. mwl mkuu apate sifa
Sasa ww ulisoma nae tena baada ya kufutwa ww ukatangaziwa. Na. Mwl mkuu??
Na ww ulikuwa bado unasoma??
Ukumaliza??
Au mtihani upi alifutiwa??
Mimi nimesoma na JM pale Galanos sec Tanga mwanzoni wa miaka ya tisini. Huyu bwana matokeo yake ya form four yalifutwa baada ya kugundulika aliiba paper. Baada ya hapo baba yake akamfanyia mpango kwenye shule nyingine nadhani Forest. Wezi wa paper ndio leo wanashika nchi unategemea nini? Kama JM ana ubavu abishe.