Mimi nimesoma na JM pale Galanos sec Tanga mwanzoni wa miaka ya tisini. Huyu bwana matokeo yake ya form four yalifutwa baada ya kugundulika aliiba paper. Baada ya hapo baba yake akamfanyia mpango kwenye shule nyingine nadhani Forest. Wezi wa paper ndio leo wanashika nchi unategemea nini? Kama JM ana ubavu abishe.
Nimesoma Galanos; headmaster alikuwa Kinala, second mistress alikuwa Mama Msemwa. Matokea yalipotoka January Makamba matokeo yake yalifutwa. Headmaster Kinala alitutangazia parade kuwa alifanya cheating ndio maana matokeo yakafutwa na akaonya watu wenye tabia hizo.
Najua January nitamkamatia wapi.Akipata uwaziri tu ndio nazungumza na waandishi wa habari. Hatuwezi kuongozwa na wezi wa mitihani.
Nimesoma Galanos; headmaster alikuwa Kinala, second mistress alikuwa Mama Msemwa. Matokea yalipotoka January Makamba matokeo yake yalifutwa. Headmaster Kinala alitutangazia parade kuwa alifanya cheating ndio maana matokeo yakafutwa na akaonya watu wenye tabia hizo.
Najua January nitamkamatia wapi.Akipata uwaziri tu ndio nazungumza na waandishi wa habari. Hatuwezi kuongozwa na wezi wa mitihani.