James Martin
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 1,206
- 1,509
Hivi sasa nchi inapitia wakati mgumu kwa watumiaji wa umeme na mafuta. Kwa mtazamo wangu naona hizi changamoto zitakuwa zinamkosesha usingizi waziri husika.
Lakini kuna kitu kinaniambia kwamba huyu kijana hatokubali kushindwa kuzitatua hizi changamoto. Sababu kubwa ni kwamba yeye anajua fika kuwa baada ya mama kumaliza wakati wake ifikapo 2030 watu watampima kutokana na utendaji wake. Na kama akiweza kutatua hizi changamoto atakuwa amezikosha nyoyo za Watanzania.
Mawaziri wenzake wengi sasa hivi wabakaribia kwenye miaka ya 60.
Mpaka ifikapo 2030 wengi wao watakuwa wameshajichokea. Kwa hiyo kama akifanya kazi yake kwa weledi ifikapo 2030 ana nafasi kubwa ya kutoboa!
Lakini kuna kitu kinaniambia kwamba huyu kijana hatokubali kushindwa kuzitatua hizi changamoto. Sababu kubwa ni kwamba yeye anajua fika kuwa baada ya mama kumaliza wakati wake ifikapo 2030 watu watampima kutokana na utendaji wake. Na kama akiweza kutatua hizi changamoto atakuwa amezikosha nyoyo za Watanzania.
Mawaziri wenzake wengi sasa hivi wabakaribia kwenye miaka ya 60.
Mpaka ifikapo 2030 wengi wao watakuwa wameshajichokea. Kwa hiyo kama akifanya kazi yake kwa weledi ifikapo 2030 ana nafasi kubwa ya kutoboa!