christeve88
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 2,481
- 3,876
Mimi enyewe najiuliza mbona hajavaa kiofisi, kuvaa kanzu sio vibaya ila kwa nini asivae kiofisi?Naona ameenda kabisa na Kanzu kwny makabidhiano ili apate huruma ya ndg zetu waislam,Uchochezi huu-alisikika ndg Musiba akilalamika kwny online tv yako.