Mimi mwenyewe wa chato mkuu.Si umewataja watu wa chato mzee
hivi huwaga anajichekelesha nini sasa huyu jamaa
Unajuaje kuwa ni tabasamu la kulazimishwa?Tabasamu la kulazimishwa....! Ukipanda pia ukubali kushuka unapotakiwa kutii hilo.
No permanent friends or enermies in politics but permanent interested. Kwa hiyo ukitaka anune! Katika siasa every man for himself.Tabasamu la kulazimishwa....! Ukipanda pia ukubali kushuka unapotakiwa kutii hilo.
Kanzu ni vazi la Mashariki ya kati, si vazi la Kiislamu.Naona ameenda kabisa na Kanzu kwny makabidhiano ili apate huruma ya ndg zetu waislam,Uchochezi huu-alisikika ndg Musiba akilalamika kwny online tv yako.
Na hapa ni Mashariki mwa Africa na sio Mashariki ya kati.Kanzu ni vazi la Mashariki ya kati, si vazi la Kiislamu.
Aah..wap...Safi sana. Kufanya kazi kwenye stress unaweza kufa kwa pressure bure.
Nafikiri kwa sasa atakuwa na muda mzuri wa kushirikiana na waliomchagua awawakilishe bungeni, na pia atakuwa na muda mzuri wa kupanga mambo mengine.
Ila yule hacheki kakenua tu!Kwakuwa wewe ni 'certified hater' ni lazma uone kosa tu sababu wewe pia ni 'fault finder' yaani umeona picha mnato unachambua kama vile video.
Hata angelia yawezekana ungesema halii anajiliza...
You are doing everything and anything in the name 'hatred' because you are infact 'satisfied hater' beyond certified as you claim to be.