kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 11,345
- 12,621
zito kabwe anasemaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni lugha ya watu kuianduka wa usahihi sana haina maana yoyote,nikikosea kuandika kiswahili nitukaneni,maana ndio lugha yangu.naona unawakilisha elimu yako vizuri kwenye kipengele cha Lugha ya Kimombo. Hahaha "Let be Passion".
Kwa nini mitambo ya umeme wa gesi haikuwekwa Huko huko kusaini basal ya kuleta Darisalamu. Umeme siungexalishwa huko na kuongezwa kwenye grid ya taifaBomba la gesi toka Mtwara-Dar lipo na linatumika kwa 6% tu - ni kweli hatujamsikia Waziri akigusia pande hizo.