Tafunaneni tu, Lissu alivyoyasema haya ya kuhusu kuonewa mlimwona hafai siyo.
Sasa huyo unayesema asimamie HAKI na UKWELI ndani ya CCM ndiye huyo huyo aliyebariki ule uhuni wa uchaguzi Serikali za mitaa ili uwe ukweli - Unafikisha mashikataka to a wrong person.
Mfumo wa umbeya, kusengenyana, kujikomba komba kumetawala ndani ya CCM, maana bila kufanya hivo huwezi kuishi humo.
Sasa huyo unayesema asimamie HAKI na UKWELI ndani ya CCM ndiye huyo huyo aliyebariki ule uhuni wa uchaguzi Serikali za mitaa ili uwe ukweli - Unafikisha mashikataka to a wrong person.
Mfumo wa umbeya, kusengenyana, kujikomba komba kumetawala ndani ya CCM, maana bila kufanya hivo huwezi kuishi humo.