January Makamba: A New Generation Leader!

kelly 1, GT

umesema JM ni kichwa sanaaaaaa....
na GT ameleta picha.....

kelly1
nakuomba utuweleze mafanikio ya JM ampaka wewe umemuona special na anafaa kuwa rais, labda kuna vitu unavijua juu yake lakini watu wengi humu ndani atuvijui, ukifanya hivyo itakuwa vizuri sana kulikoni kuweka maneno matupu

GT
asante kwa kutuletea picha za JM ambazo zimetoka vizuri sana...
kutokana na hizo picha nina imani kabisa unaweza kutueleza kazi za JM anazofanya kila siku ni zipi na ni mambo gani ambayo unadhani JM ameyafanya kustahili sifa
maana yake humu ndani watu wamesema yeye ndio huwa anamshauri kikwete hata kwenye hotuba na mambo mbalimbali ya nje ya nchi na hata akisafiri amuachi lakini JK amekuwa akiboronga na watu wanasema hiyo ni kazi ya JM, kwa hiyo kama si kazi yake naomba utueleweshe na utuambie kazi zake ni zipi na mafanikio yake katika taifa hili ni yapi (kwa mawazo yako) na ni special anaweza kuwa rais
 
Mi nadhani tufike mahali watu tuwahukumu kwa matendo yao. January Makamba ahukumiwe kama yeye. Yes, NI MTOTO wa Makamba..lakini kijana kaenda shule sasa kwa nini asipewe kazi kama anaweza kuifanya? Otherwise elimu yake itakuwa haina maana... Do you really think kwamba angekuwa kilaza JK angemuweka pale? Hapana. Naamini ni uwezo wake..sasa kama anapelea katika sehemu fulani..nadhani hilo si swala la Makamba ni la mwajiri wake ambaye ni JK, ndo wa kujua kwamba his employee is not upto the task. Personally, I applaud Janaury,hata kama amebebwa..lakini anabebeka. And he has got something to prove. Akitaka uongozi atakuja atoe sera mbele ya Tanzania..maana sisi ndo wapiga kura. Its upto us.

And lets face it, hata kama ni wewe you are likely to hire a person you know especially his kazi za kuwa personal assistant. Sasa kama kijana ana vigezo (kadri JK anavyoona inafaa) kwa nini sisi tumshambulie? Mimi Masanja I know no body..lakini its MY DUTY to create my own network. Its a lame excuse kila siku kulia lia eti sifanikiwi kwa sababu mimi ni mtoto wa Mkulima. Yes, my father is a peasant, so what??? Should I also be condemned to poverty? No way..hilo nalipinga. Na mimi hao wahusika nitawafahamu on my own! Just like Makamba or Malecela did..maana na wao walisota......Unafikiri Makamba yeye alifanikiwaje?..Fair game hapa duniani haipo..ni vyema kujifunza namna ya kukabiliana na hali halisi.

The same like Malecelas...its unfair kusema kwamba wamejazana NY au kwingineko..ukiangalia wengi wa watoto wake..shule zimetulia..sana sana..watu tuhoji competence yao na hiii fairness ya kuwaweka pale walipo. Personally yule mtoto wake aliyeko ubalozini NY..I know her..amekaa sana pale kijiweni BAMAGA kwenye ile NGO ya akina Clement Mashamba ya Legal Aid for two years..and by then Iam sure no body knew her..eye brows zimekuwa raised baada ya yeye kwenda NY..wapi na wapi bwana..mdada wa watu ana vyeti...kama uliomba kazi ukaenguliwa..weka evidence zako hapa..tuzijadili..ila hizi habari za vijiweni eti watu wanapendeleana wakati hata applications hukutuma...haitusaidii....Tufike mahala tukubali..vitu vingine vipo tuu..the same yule kijana aliye pale NY ubalozini kama economic attache..I know the dude..tumekula wote hard time mtaani tukiwa chuo..sasa leo jamaa kahangaika kikaeleweka..people will start questioning. Nadhani ni vyema tukauliza maswali legit kama haya..kwa ku-trace history na maisha ya mtu..kuna wengine wazee wao wamekuwa vingunge..lakini they are suffering like the rest..

So let the guy Makamba do his things. Nepotism nadhani inakuja pale mtu unapoonekana umebebwa bila vyeti na kupendelewa... But when you can do the job...there is no problem...wewe fanya kazi yako kwa uadilifu na bidii..kuna siku wahusika wataona juhudi zako. You never know! Tusilalamike.

- Mkuu haya ni maneno yaliyojaa busara na ukweli, na hasa kuona mbali katika picha kubwa, naona maneno mengi humu lakini ukweli haupo kosa la huyu kijana ni lipi? Na ni nani hasa anayejua kazi yake ya kila siku kwamba sasa atuambie wapi amekosea na wapo yuko sawa!

- Mwacheni kijana afanye kazi, mengine ni fact of life kila mmoja na bahati yake katika maisha.

Ahsante.

William.
 
IMG_9112.jpg


bado hakuna aliyekuja na hoja mahususi kwa nini JANUARY HAFAI naona mna zunguuka zunguka tuu hapa


Baba na mwana.
 
Kama uongozi unatolewa kwa kupiga story, ndo maana wajanja wanaoweza kupiga story kwa wakubwa wanatula kwa ulaini. Makamba kuongea huwa anaongea mpaka anasahau kaongea nini. Labda kamrithisha mwanae? Itakuwa bahati mbaya kama watu tutatumia criteria ya jamaa kumchekesha Obama ndio uwezo wa kuwa kiongozi.
 
- Mkuu haya ni maneno yaliyojaa busara na ukweli, na hasa kuona mbali katika picha kubwa, naona maneno mengi humu lakini ukweli haupo kosa la huyu kijana ni lipi? Na ni nani hasa anayejua kazi yake ya kila siku kwamba sasa atuambie wapi amekosea na wapo yuko sawa!

- Mwacheni kijana afanye kazi, mengine ni fact of life kila mmoja na bahati yake katika maisha.

Ahsante.

William.
Dukuduku la watu ni kutorithishana Tanzania. Badala yake watu warithishane Nyumba na mashamba etc ambayo baba zao wanamiliki. Kama ni kiongozi safi, hakuna shaka wa TZ tunamuhitaji. Ila kama cheo na nafasi aliyonayo ni shukrani au ni suala la kupewa fadhila ya baba kuwa kwenye mtandao, hana sababu ya kufikiria kurithi kwa upole madaraka labda ya chama. Mana leo hii TZ yote yanazungumzwa atii
 
kelly 1, GT

umesema JM ni kichwa sanaaaaaa....
na GT ameleta picha.....

kelly1
nakuomba utuweleze mafanikio ya JM ampaka wewe umemuona special na anafaa kuwa rais, labda kuna vitu unavijua juu yake lakini watu wengi humu ndani atuvijui, ukifanya hivyo itakuwa vizuri sana kulikoni kuweka maneno matupu

GT
asante kwa kutuletea picha za JM ambazo zimetoka vizuri sana...
kutokana na hizo picha nina imani kabisa unaweza kutueleza kazi za JM anazofanya kila siku ni zipi na ni mambo gani ambayo unadhani JM ameyafanya kustahili sifa
maana yake humu ndani watu wamesema yeye ndio huwa anamshauri kikwete hata kwenye hotuba na mambo mbalimbali ya nje ya nchi na hata akisafiri amuachi lakini JK amekuwa akiboronga na watu wanasema hiyo ni kazi ya JM, kwa hiyo kama si kazi yake naomba utueleweshe na utuambie kazi zake ni zipi na mafanikio yake katika taifa hili ni yapi (kwa mawazo yako) na ni special anaweza kuwa rais

Kwanza waje hao wanaodai JM hafai walete sababu zao na mimi nitakuja na sababu zipi anafanyaa

MImi nilishaoanisha kwenye hii thread nadani kwenye post namba tatu au nne

wote wamekimbia hakuna aliyerudi
 
Unajua kumfanya mtu ashinde kiti cha uraisi siyo kwa wananchi tuu kukaa na kusema kuwa hatumtaki fulani...Ila si jinsi gani uta ji-market wewe kwa watu!...Ule mwaka 2000 Bush alivyokuwa nagombea uraisi watu wengi sana walikuwa wanampinga ila kutokana na watu aliokuwa nao around akina genius kama Karl Rove walivyokuwa wanaendesha kampeni .......inabidi kwanza kuwa na strategy then market that person...wewe unataka kuniambia W bushi alikuwa na sifa gani hadi awe raisi?......

Kama sasa Obama watuw alisema hana experience hana sifa lakini kutokana na ile public relation na marketing plan waliyokuwa nayo akina David Axerlod ndiyo kawez akushinda...its what you do and not sit down and tall to talk!@.......
 
Unajua kumfanya mtu ashinde kiti cha uraisi siyo kwa wananchi tuu kukaa na kusema kuwa hatumtaki fulani...Ila si jinsi gani uta ji-market wewe kwa watu!...Ule mwaka 2000 Bush alivyokuwa nagombea uraisi watu wengi sana walikuwa wanampinga ila kutokana na watu aliokuwa nao around akina genius kama Karl Rove walivyokuwa wanaendesha kampeni .......inabidi kwanza kuwa na strategy then market that person...wewe unataka kuniambia W bushi alikuwa na sifa gani hadi awe raisi?......

Kama sasa Obama watuw alisema hana experience hana sifa lakini kutokana na ile public relation na marketing plan waliyokuwa nayo akina David Axerlod ndiyo kawez akushinda...its what you do and not sit down and tall to talk!@.......

lakini wewe ndio umemuweka JM ahead na kusema ni new generation leader na ni kichwa sana,
halafu wewe ndio unasema rais sio lazima awe na akili na anaweza kuwa mtu yeyote(sipingi), rais anaweza kubebwa na watu kama karl rowe (nakubali)

swali kwa hiyo JM ni kichwa kama ulivyosema mwanzo (naomba sababu) au JM ni mpumbavu na anabebwa, na atabebwa kama bush alivyobebwa

dada watu wamekutukana wamekuita kimbelembele, mimi nakupa nafasi ya kusema kwa nini umemuona JM ni kichwa kuliko wengine (naomba uwende straight kwenye jibu usilete story za kina carl rowe)


kelly1
nakuomba utuweleze mafanikio ya JM ampaka wewe umemuona special na anafaa kuwa rais, labda kuna vitu unavijua juu yake lakini watu wengi humu ndani atuvijui, ukifanya hivyo itakuwa vizuri sana kulikoni kuweka maneno matupu
 
Dukuduku la watu ni kutorithishana Tanzania. Badala yake watu warithishane Nyumba na mashamba etc ambayo baba zao wanamiliki. Kama ni kiongozi safi, hakuna shaka wa TZ tunamuhitaji. Ila kama cheo na nafasi aliyonayo ni shukrani au ni suala la kupewa fadhila ya baba kuwa kwenye mtandao, hana sababu ya kufikiria kurithi kwa upole madaraka labda ya chama. Mana leo hii TZ yote yanazungumzwa atii

- Mkuu haya ni maneno yako tu kama ya wengine wengi, ambayo hayawezi kuongeza wala kuzuia anything, Januari ni raia kama wengine wote wa Tanzania ana haki za ku-pursue anything baba yake ni kiongozi wa taifa sio a crime kama unavyotaka kuiweka,

- Akiamua kugombea uongozi ni uamuzi wa wananchi kama Tanzania tuna sheria zinazoruhusu baba kumrithisha mtoto uongozi, then omba katiba ibadilishwe, lakini kumlaumu Januari na kumkashifu bila sababu wakati yeye yuko juu tayari sidhani kama inaweza kusaidia, mkuu huyu Januari sasa ni msaiidzi wa karibu sana wa rais wa jamhuri yetu, sasa niambie akitoka hapo atakuwa nani? Katibu tarafa? No way aliye juu huwezi kumngoja chini ni lazima umfuate huko huko juu!

Ahsante.


William.
 
Mnamsema sana mtu wa watu utafikiri kashasema anataka uongozi wa juu. Mnamchambuaje mtu katika uongozi kama yeye mwenyewe haja sema anataka huo uongozi? Stop scrutinizing the man sasa. Hii ni sawa sawa na kugombania pesa kabla hata haujaipata, IT MAKES NO SENSE!!! If and when he decides to seek a certain office then you can discuss how he is qualified for that post. Hauwezi kumjadili mwali kabla haja chumbiwa.
 
Mnamsema sana mtu wa watu utafikiri kashasema anataka uongozi wa juu. Mnamchambuaje mtu katika uongozi kama yeye mwenyewe haja sema anataka huo uongozi? Stop scrutinizing the man sasa. Hii ni sawa sawa na kugombania pesa kabla hata haujaipata, IT MAKES NO SENSE!!! If and when he decides to seek a certain office then you can discuss how he is qualified for that post. Hauwezi kumjadili mwali kabla haja chumbiwa.

MwanaFA, inawezekana JM au wapambe wake walileta hii mada kama kipimajoto ili kucheki watu wanamuonaje

Utawaona sana tu ila tuwape pole zile heal za siasa ya uchaguzi wa wazazi hakuna sasa
 
MwanaFA, inawezekana JM au wapambe wake walileta hii mada kama kipimajoto ili kucheki watu wanamuonaje

Utawaona sana tu ila tuwape pole zile heal za siasa ya uchaguzi wa wazazi hakuna sasa

Unajua mkuu nilikuwa sijali wazia hilo. You make a very good point. Hii yaweza kuwa kipima joto kwa njia moja amaa nyingine. Maana hii mada ilisha kufa kwa muda fulani ghafla nika shangaa ina tokea tena kwa nguvu mpya, kasi mpya na ari mpya hahaha.
 
kwikwikwikwikwikwikwi mkuu umeuaaaa.....sio kucha tu hata huko chini kushalowa......

Kwikwikwikwi. Hawachelewi kuanza kutafuna nyasi. Anyway, sasa hivi nchi inahitaji watu kufanya vitu (get things done) hata kama hawatakuwa wazungumzaji. Na hili ndilo linaloshindikana toka uhuru upatikane.

Na vilevile kwa sababu ni mtoto wa maKamba na msaidizi wa rais, watu wanaomjua wasifikiri kuwa watanzania wengine tunamfahamu kama wao wanavyomfahamu.
 
Watu wanampinga sana ndugu Januay Makamba (majority vijana wale wenye roho za kwa nini)...juzi hapa ndani ya white house January kapiga story na Barack Obama kuliko hata Obama alivyoongea na JK....hadi Obama mwenyewe kamkubali kuwa kIJANA January Makamba ni kichwa/Smart na ndiyo new generation leader of Tanzania au kwa maana nyingine Future leader wa Tanzania...kama akipikwa vizuri basi....olooo "Change is coming to Tanzania"

Si ndiyo huyu huyu ambaye akienda Washington DC hataki kukutana na watanzania wenzie anabaki kujichimbia hotelini! ...sasa kama anamawazo mazuri ya kuijenga nchi why run away from fellow Tanzanians????...interesting!
 
Si ndiyo huyu huyu ambaye akienda Washington DC hataki kukutana na watanzania wenzie anabaki kujichimbia hotelini! ...sasa kama anamawazo mazuri ya kuijenga nchi why run away from fellow Tanzanians????...interesting!

Wa Tanzania wenyewe mmejaa majungu tu...hata nigekuwa mimi ninge jichimbia hotelini!
 
Back
Top Bottom