January kwenye Power Breakfast: Aelezea tatizo la Mgao wa Umeme

Thanks MMKJ,

My take:
Netgroup walitumia maji mengi kuzalisha umeme!! kivipi. Ina maana walimwaga maji tu au. Mfano, Kama Cub.meter 100 zinatoa megawatt 1, ina maana labda netgroup walitumia Cub.m 150 kwa megawatt 1 !!. Engineers nisaidieni kunifahamisha.

Umeme unapotea njiani kwa miundo mbinu mibovu: Sasa NSSF wakianza kuzalisha kiwira si umeme huo utapotea njiani pia? wale tuliosema tatizo si makaa ya mawe au kiwira ni zaidi ya hapo tulikosea au kushambulia taasisi yoyote.

Viwanda athirika: Mbolea, Vodacom na viwanda vidogo! hee! kwanini vodacom na si Airtel, Tigo, Breweries, cements, Irons, textiles n.k!

Watu wanashangaa kwani hatuwashi na mashine zipo: January! january! si wabunge wa CCM walisema hapana Ubungo plaza, si rais wako alisema hata yeye hakubali malipo Dowans. Sasa umeme ungewashwaje bila kulipa Dowans. January mamilioni ya watu walioandamana na baiskeli wakisema Dowans hapana hao hukuwaona, au una maana watu ni akina nani. January !

Stielger Gorge: Tatizo si mazingira. Michoro ya kwanza ya mradi huu ulichorwa na wajerumani.( Chuo kikuu au nyaraka za serikali wanazo ). Hili la mazingira umelitunga wewe na wenzako. Ipo proof ya mradi huu kuanzia enzi German rule.

Badilisha sheria za manunuzi: Ok! Ili tununue Dowans ya rafiki yako.

Binafsi navutiwa na jitihada za January na inaniwia ngumu kuamini kwamba yupo kutetea maslahi ya wachache, tumuunge mkono kijana mwenzetu kwa maslahi ya Taifa letu Tanzania
 
"KWA WALIYO MARAFIKI ZA HUYU SHUJAA WETU, BASI HII NDIO STATUS YAKE SASA HIVI


Lisa M Rockefeller The So Called Ernesto Sheka's real name is January Makamba, is the one apparently threatening me. Let's see if he will ever set his feet in the American soil, this is nothing but an act of terrorism, I agree now, Kikwete is a Joke to hire people like these"



Hiyo Vipi Hawajamuuliza?



icon1.png
Ukweli kuhusu ugomvi wa January Makamba na Lisa Rockefeller


Kuna rafiki yangu lawyer kwenye NGO moja hapa NY ambayo yule dada Lisa Rockefeller ni board member, amenidokeza kuhusu issue ya huyu dada na yule kijana wa Bumbuli – January Makamba. Hii issue imemkera sana huyu dada na anaichukulia serious sana. January na Lisa walikuwa na uhusiano mzuri sana ambao ulishamiri zaidi wakati alipokuwa Marekani kwenye safari na JK ya kuonana na investors na donors. Lisa pia ndiye aliye-organize na rafiki yake wa “The Economist” kuandika ile piece ya January Makamba ambayo ilikuwa na objective ya kumsaidia kukuza profile yake kwenye kampeni. Kwa Lisa, January alionekana ni mtu progressive anayependa maendeleo na quite possibly future leader wa Tanzania. Wakati Lisa alipokuja Tanzania mara ya mwisho akakuta mradi aliotolea hela nyingi kule Mbeya haujafanyika, wakati alipewa guarantee na rafiki yake January kuwa hela hiyo itatumiwa kwenye huo mradi, alikuja juu na kudai accountability. January apparently akamjia juu na kumtishia kuwa yuko Bongo asilete ukoloni wa Kimarekani. Apparently, alimpa threats nyingi zaidi na kwa sababu ya hizo threats dada Lisa alizipeleka nyumbani na familia ikapiga simu Homeland Security. Ilibidi wamarekani wa-launch formal investigation ambayo mpaka sasa inaendelea. Kuna matisho aliyoyatoa January bila kufikiria madhara yake na huyu dada akayachukulia serious na kwa hasira sana. Kumbuka yeye alikuwa anategemea appreciation huku na quite honestly sidhani kama alikuwa na mambo mengine mengi zaidi ya kusaidia. Sasa hiyo ndiyo inasemekana imemfanya Mkulu ashindwe kumpa ule uwaziri ambao kijana alikuwa ana uhakika wa kuupata. Kuna habari pia kwamba kijana January amewekwa kwenye list mbaya ya Homeland Security na itakuwa vigumu sana kusafiri huku mpaka hii issue iwe cleared.

 
Naiona kama ze komedi vile anajiumauma tuuu hakuna jipya anajaribu kuisafisha sisisem wakati haisafishiki ....:A S-confused1:
 
Ameulizwa "kuna emergency ya kununua ndege"? anasema hata barabara siyo emergency - wanacheka tu - kwani anaambiwa kuwa mambo mengine ni ya mipango ya muda mrefu. Anasema "udharura" mwingine ni wa kujitakia. Anadai kuwa ( naamini kwa makosa) kuwa huwezi kwenda kununua mtambo wa kuzalisha umeme MW100 ni lazima usubiri miaka miwili.


kaka sio bahati mbaya ni makusudi, wanajua wanacho maanisha Watanzania wengi wana amini hili, Mimi na kuomba kama mzee wa Kijijini embuwaletee humu bei na aina ya mitambo, pia uwezo wake na UPATIKANAJI wake ili WATANZANIA wajue kuwa huu ni uongo!
 
Anasema miaka 10 iliyopita serikali iliamua TANESCO ibinafsishwe; anatoa historia ya mgao; walipokuja NETGROUP solutions kuendesha TANESCO, walitumia maji mengi kuzalisha umeme.Hawakuwekeza kwenye chochote hasa miundombinu hivyo tatizo likaanza ukichanganya na uhaba wa mvua.

Walitumia jitihada kubwa kukusanya madeni kwa vile mkataba uliweka kipengere cha bonus .So walikazana sana kukusanya madeni kwa sababu ya motisha wa bonus. Mwaka 2006 SERIKALI IKARUDISHA TANESCO serikalini. Matatizo y aumeme kwa kiasi yanatokana na mambo mengi. Haijakuwepo big investment katika uzalishaji hata ugavi.

Pia anasema kuwa umeme mwingi unapotea njiani kutokana na uchakavu wa miundo mbinumore than 20% 1100 gigawatt (???)
Umeme unapotea mathalani, ni mwingi kuliko ule unaozalishwa na Songas!

Anaelezea matatizo ya umeme:

a. Kiwanda cha MBolea kufungwa mara tatu
b. Vodacom wanatumia fedha nyingi
c. Viwanda vidogo


Anasema wananchi wanalalamika na kuwauliza kama "wana akili" kwamba watu wanawashangaa iweje iwepo mitambo ipo imezimwa. Anasema yapo mapendekezo 30 la kuwasha mitambo ya Dowans ni moja tu.

Ameulizwa swali "kwanini miaka mitano ya kwanza Serikali haikuwekeza kwenye uzalishaji wa umeme?" Jibu lake: "Swali unaloniuliza ndilo na mimi nauwaliza serikali" (akimaanisha barua yake kwa Ngeleja).

Anaelezea suala la Stielger's Gorge anasema tatizo limekuwa ni suala la mazingira ndio limechelewesha sana. Anasema lakini sasa hivi jambo hilo linazungumzika na kuwa wapo taasisi binafsi ambazo wako tayari kuwekeza (akigusia suala la RUBADA na Brazili). Kwa hiyo anasema ni suala la kulinda maslahi ya "mazingira" na yale ya wananchi.

Ameuliza kuhusu suala la Dowans na anakiri kuwa Mtambo haujawashwa na anakiri ni kwa sababu ya "unafuu uliopo sasa kwa sababu ya mvua" lakini anasema kuwa "ni unafuu wa muda". Anasema kwa sababu mabwawa yaliyojaa maji sasa hivi ni yale yanayotegemea maporomoko ya maji (water falls) lakini siyo yale mabwawa ya hifadhi (water reservoir) kama Mtera.

Anaunga mkono kubadilisha sheria ya manunuzi ya umma ambayo itaruhusu manunuzi ya vitu vilivyotumika. Anasema kwa mfano nchi kama za kwetu na mazingira yetu na ya kibiashara dunia ni vizuri kuruhusu manunuzi hayo. Anasema sheria lazima iwe "flexible". Anasema nchi kama za kwetu haziwezi kupata vitu vipya kila wakati na anatolea mfano wa ndege.

Ameulizwa "kuna emergency ya kununua ndege"? anasema hata barabara siyo emergency - wanacheka tu - kwani anaambiwa kuwa mambo mengine ni ya mipango ya muda mrefu. Anasema "udharura" mwingine ni wa kujitakia. Anadai kuwa ( naamini kwa makosa) kuwa huwezi kwenda kununua mtambo wa kuzalisha umeme MW100 ni lazima usubiri miaka miwili.

Anasema kuwa serikali inataka kukodisha mitambo ya Tanesco ya 260 na amewatumia ujumbe Tanesco kuwa ahadi yao isipotimizwa basi "watakamatana" na "kuulizana vizuri" huko Dodoma.


Ametoa wito kwa watu ambao wameathirika na uchakachuaji wa mafuta wafike ofisi za Bunge jijini Dar leo ambao wanakusanya maoni ya nini cha kufanya.

kama ameongea hivyo basi this idiot boy is stupid stupid ever

Sijui na ubunge kaupataje empty like makamba the father
 
hivi kwanini uyu bwana mdogo na genge lake la waliomtuma wanatudharau sana watz???
ivi suala la umeme ni la kulipigia porojo km hivi?
ivi wanatuona wote ni wajinga mbumbumbu na hatuna wataalam wenye kutoa suluhisho?
ivi kwanini wanaleta utani na siasa za k.i.s.e.n.g.. namna hii?
mgao upo palepale na makali yapo palepale hata silioni la uyu dogo kwenda apo kwa mafisadi wezie na kuuza sura na kuleta mizaha,how I wish atokee kichaa mmoja ivi achape watu risasi!!
ila ipo siku walahi watajibu ili kwa wanainchi,saddam,hosni,gadhaf,mussolin,adolph et al wako wapi now!!

wamezidi kunichefua zaidi
 
Nashukuru M.M. Mwanakijiji kwa muhtasari wa maongezi ya January.

Kimsingi, kama walivyo wana-CCM wengine hakuna ubunifu wenye tija hata kidogo katika masuala mazima ya kitaifa. Tena baya zaidi hata ya huko kwenye chama chao yamewashinda na kilichobaki ni kiwashambulia wazee kama akina Sumaye.

Ukisoma kwa makini hata huoni sababu ya January kupewa airtime kuelezea hayo yote maana hakuna lilolo na tija hata moja. Alitakiwa maongezi yake yajikite katika mikakati zaidi ya kutatua tatizo la mgawo wa umeme nchini pasipo kufikiria kubadili sheria za manunuzi eti tu kwa sababu kuna kitu DOWANS ipate soko. Yaani watu hawa wamekosa hata aibu kwa wananchi. Wanayasema tu kama mtu mwenye ganzi kichwani.
 
Kama wiki 2 au 3 zilizo pita Gerald alisema hizi kamati za Bunge hili zimekuwa kama watendaji (as opposed to watchdog)...na akauliza WHO is he to say Washa! Je? alimuliza WHO ARE YOU kusema Washa!
 
Yaani athari zote za mgao waaathirika wakubwa ni Vodacom!?? kweli Rostam ana nguvu!!
 
ila kuna watu wanajiona mungu-watu
kazi tunayo na upole wetu huu
 
Anasema miaka 10 iliyopita serikali iliamua TANESCO ibinafsishwe; anatoa historia ya mgao; walipokuja NETGROUP solutions kuendesha TANESCO, walitumia maji mengi kuzalisha umeme.Hawakuwekeza kwenye chochote hasa miundombinu hivyo tatizo likaanza ukichanganya na uhaba wa mvua.

Walitumia jitihada kubwa kukusanya madeni kwa vile mkataba uliweka kipengere cha bonus .So walikazana sana kukusanya madeni kwa sababu ya motisha wa bonus. Mwaka 2006 SERIKALI IKARUDISHA TANESCO serikalini. Matatizo y aumeme kwa kiasi yanatokana na mambo mengi. Haijakuwepo big investment katika uzalishaji hata ugavi.

Pia anasema kuwa umeme mwingi unapotea njiani kutokana na uchakavu wa miundo mbinumore than 20% 1100 gigawatt (???)
Umeme unapotea mathalani, ni mwingi kuliko ule unaozalishwa na Songas!

Anaelezea matatizo ya umeme:

a. Kiwanda cha MBolea kufungwa mara tatu
b. Vodacom wanatumia fedha nyingi
c. Viwanda vidogo


Anasema wananchi wanalalamika na kuwauliza kama "wana akili" kwamba watu wanawashangaa iweje iwepo mitambo ipo imezimwa. Anasema yapo mapendekezo 30 la kuwasha mitambo ya Dowans ni moja tu.

Ameulizwa swali "kwanini miaka mitano ya kwanza Serikali haikuwekeza kwenye uzalishaji wa umeme?" Jibu lake: "Swali unaloniuliza ndilo na mimi nauwaliza serikali" (akimaanisha barua yake kwa Ngeleja).

Anaelezea suala la Stielger's Gorge anasema tatizo limekuwa ni suala la mazingira ndio limechelewesha sana. Anasema lakini sasa hivi jambo hilo linazungumzika na kuwa wapo taasisi binafsi ambazo wako tayari kuwekeza (akigusia suala la RUBADA na Brazili). Kwa hiyo anasema ni suala la kulinda maslahi ya "mazingira" na yale ya wananchi.

Ameuliza kuhusu suala la Dowans na anakiri kuwa Mtambo haujawashwa na anakiri ni kwa sababu ya "unafuu uliopo sasa kwa sababu ya mvua" lakini anasema kuwa "ni unafuu wa muda". Anasema kwa sababu mabwawa yaliyojaa maji sasa hivi ni yale yanayotegemea maporomoko ya maji (water falls) lakini siyo yale mabwawa ya hifadhi (water reservoir) kama Mtera.

Anaunga mkono kubadilisha sheria ya manunuzi ya umma ambayo itaruhusu manunuzi ya vitu vilivyotumika. Anasema kwa mfano nchi kama za kwetu na mazingira yetu na ya kibiashara dunia ni vizuri kuruhusu manunuzi hayo. Anasema sheria lazima iwe "flexible". Anasema nchi kama za kwetu haziwezi kupata vitu vipya kila wakati na anatolea mfano wa ndege.

Ameulizwa "kuna emergency ya kununua ndege"? anasema hata barabara siyo emergency - wanacheka tu - kwani anaambiwa kuwa mambo mengine ni ya mipango ya muda mrefu. Anasema "udharura" mwingine ni wa kujitakia. Anadai kuwa ( naamini kwa makosa) kuwa huwezi kwenda kununua mtambo wa kuzalisha umeme MW100 ni lazima usubiri miaka miwili.

Anasema kuwa serikali inataka kukodisha mitambo ya Tanesco ya 260 na amewatumia ujumbe Tanesco kuwa ahadi yao isipotimizwa basi "watakamatana" na "kuulizana vizuri" huko Dodoma.


Ametoa wito kwa watu ambao wameathirika na uchakachuaji wa mafuta wafike ofisi za Bunge jijini Dar leo ambao wanakusanya maoni ya nini cha kufanya.


hapo kwenye red anamaanisha downz siyo?
 
Katika speech yote hii, mi imenichekesha ilipotajwa VODACOM.

Yaani mpaka sasa hivi sielewi kama MMKJJ unaleta utani au January amemiss dadake.

Hii VODACOM hii, mi naanza kuwa na wasiwasi nayo......mara ya kwanza nilikuwa na wasiwasi na Zain ambao wanabadilisha majina kila siku (ndio mi bado naiita Zain na sio Airtel).

Anyways, popcorn na coke (sio pepsi)
 
Back
Top Bottom