Mbelwa Germano
JF-Expert Member
- May 7, 2011
- 789
- 289
Heshima Kwako MwanaJF.
Kitendo cha Januari Makamba, Shekifu na Ngwilizi na wengi wa Wabunge wa CCM kutosaini kutokuwa na imani na PM pamoja na mawaziri wake huku wananchi wa Lushoto na Tanzania nzima wakijua fika ni kwa jinsi gani uharibifu wa mali za umma ukiwa wa hali ya kutisha umetufundisha mambo makuu matatu:
Kwa wanaopenda mabadiliko wilaya ya lushoto kwa dhati kabisa nawaomba waunge mkono CDM kwa jitihada tunazofanya za kuhamasisha wananchi wa Lushoto kutambua Tanzania ndio nambari moja. Tunaendelea kupata majina ya wanachama/wafuasi wanaoishi/wanaotoka wilaya ya Lushoto ambao wapo tayari kujiunga na timu ya wapambanaji.
M4C+PEOPLE'S POWER=HAKIKA TUTASHINDA!
Kitendo cha Januari Makamba, Shekifu na Ngwilizi na wengi wa Wabunge wa CCM kutosaini kutokuwa na imani na PM pamoja na mawaziri wake huku wananchi wa Lushoto na Tanzania nzima wakijua fika ni kwa jinsi gani uharibifu wa mali za umma ukiwa wa hali ya kutisha umetufundisha mambo makuu matatu:
- Wabunge hawa hawako kwa ajili ya maslahi ya wananchi wenzao waliowachagua hivyo wabunge niliowataja sio wawakilishi sahihi wa wananchi wa Lushoto.
- Hawaamini katika maslahi ambayo yapo juu ya chama (Badala ya Tanzania namba moja wao wanaamini CCM ndio namba moja)
- Ni vigeugeu (hawana msimamo) tusioweza kuwaamini katika kujenga taifa ndani ya mipaka ya uwajibikaji-ni wabinafsi
Kwa wanaopenda mabadiliko wilaya ya lushoto kwa dhati kabisa nawaomba waunge mkono CDM kwa jitihada tunazofanya za kuhamasisha wananchi wa Lushoto kutambua Tanzania ndio nambari moja. Tunaendelea kupata majina ya wanachama/wafuasi wanaoishi/wanaotoka wilaya ya Lushoto ambao wapo tayari kujiunga na timu ya wapambanaji.
M4C+PEOPLE'S POWER=HAKIKA TUTASHINDA!