Papa D
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 753
- 182
Pirika pirika za January Makamba zimejikiti zaidi katika harakati zinazofanana na zile za kikwete alipokuwa anawinda urais. Hali hii inachagizwa na Watendaji wengi wa ccm hasa makatibu wa wilaya kupatikana kwa influence ya baba yake. Baada ya Baba yake kuenguliwa kwa aibu. amenyamaza kimya [huenda kuto-draw attention kwa jamii] ili mtoto aendelee kujiimarisha. Je haya ni maandalizi ya kugombea ile ofisi ya magogoni?