KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,597
Mimi siamini kama huyu ni mmiliki halali ya DOWANS!!huu ni usanii watanzania tunafanywa hatunazo!!wewe ulisikia wapi eti anatuonea huruma!
Hii nikutaka kupooza moto wawa bunge kuhusu DOWANS sasa ukitaka kujua tazama magazeti yanayomilikiwa na RA yalivyo jifanya kupamba story ya DOWANS ili watanzania wapotee!
Ukweli Dowans mmliki siye huyo mwanajeshi mstaafu huyo ni Boya!!
Hii nikutaka kupooza moto wawa bunge kuhusu DOWANS sasa ukitaka kujua tazama magazeti yanayomilikiwa na RA yalivyo jifanya kupamba story ya DOWANS ili watanzania wapotee!
Ukweli Dowans mmliki siye huyo mwanajeshi mstaafu huyo ni Boya!!