Shomari
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 1,112
- 241
Miaka 50 ya Uhuru inapita huku bado nchi yetu imeshindwa kupiga hatua katika sekta ya nishati, serikali imeshindwa kulinda maliasili, wanyama kama twiga wanatoroshwa na kuuzwa kwa bei ya sawa na bure , ..... na matatizo mengine lukuki. je, tatizo ni nini? Nchi yetu bado changa? Watanzania tumelogwa na CCM? ama ni kitu gani hasa??!!! karibu kutoa maoni yako