johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,833
- 141,751
Naupongeza sana uamuzi wa Rais Samia kujenga soko la kisasa la Wamachinga pale jangwani.
Awali Jangwani palikuwa na viwanja vya kufanyia mazoezi timu za Simba SC aka Makolo, Pan Africans, Red Star na Cosmo na pale juu ndio wapo Yanga yaani Utopolo hadi leo.
Baadae jangwani ikawa stendi ya malori kabla ya ujenzi wa ofisi za Mwendokasi.
Naamini Soko kuu la Wamachinga litafanya Jangwani ipendeze na cha msingi ni kutilia maanani mabadiliko ya tabia nchi.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Awali Jangwani palikuwa na viwanja vya kufanyia mazoezi timu za Simba SC aka Makolo, Pan Africans, Red Star na Cosmo na pale juu ndio wapo Yanga yaani Utopolo hadi leo.
Baadae jangwani ikawa stendi ya malori kabla ya ujenzi wa ofisi za Mwendokasi.
Naamini Soko kuu la Wamachinga litafanya Jangwani ipendeze na cha msingi ni kutilia maanani mabadiliko ya tabia nchi.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!