Mlaleo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 13,378
- 9,749
Tanzania tushazoeshwa na Mambo ya Kishirikina na kienyeji tushakuwa wabishi tu na kuwasingizia Wazungu kuwaita Mabeberu..
IImekuja Corona tumeambiwa Nyungu hadi kukawa na wiki za Nyungu...
Sasa hili la Kimbunga ndio tuendeleze Nyungu na kujifukiza au kuna linginelo la kienyeji Maana tumesoma lakini hatujaelimika...
Jaffo tunaomba muongozo... ndio mmetuzoesha sisi mnaotuita wanyonge ''what to do Mr. Capiteni'' alisikika mama Mmoja kwenye Janga la Kuzama Meri ya Titanic akimuuliza Capten Smith.. ndani ya Unsincable Titanic Ship..
au tukimbilie Chanika au wapi? tuliopo Dar.
IImekuja Corona tumeambiwa Nyungu hadi kukawa na wiki za Nyungu...
Sasa hili la Kimbunga ndio tuendeleze Nyungu na kujifukiza au kuna linginelo la kienyeji Maana tumesoma lakini hatujaelimika...
Jaffo tunaomba muongozo... ndio mmetuzoesha sisi mnaotuita wanyonge ''what to do Mr. Capiteni'' alisikika mama Mmoja kwenye Janga la Kuzama Meri ya Titanic akimuuliza Capten Smith.. ndani ya Unsincable Titanic Ship..
au tukimbilie Chanika au wapi? tuliopo Dar.