Janga la Corona: Serikali itoe tamko kuhusu wanafunzi kurudi shule au kuongeza muda mapema iwezekanavyo!

cutelove

JF-Expert Member
Oct 3, 2017
3,317
7,509
Zikiwa zimebaki siku 4 muda kuisha wa serikali ambao walisitisha masomo kwa shule na vyuo ili kuzuia maambukizi ya corona, bado serikali imekaa kimya hadi wazazi na wanafunzi wanabaki kuulizana kuwa huenda siku zikaongezwa au wajiandae kurudi shule.

Kuna wazazi na walezi ambao watoto wao wanasoma mikoani hivyo wanatakiwa kuwafanyia maandalizi kadha wa kadha na kuandaa usafiri mapema ili kuepuka adha za usafiri kama ilivyokuwa siku ya kufunga shule.

Wazazi, walezi, wadau na wanafunzi wanaomba tamko rasmi kama shule na vyuo vitafunguliwa jumatatu ijayo ili wazazi wawaandae watoto wao mapema ama siku zitaongezwa.

Tunaomba tamko la serikali mapema iwezekanavyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zikiwa zimebaki siku 4 muda kuisha wa serikali ambao walisitisha masomo kwa shule na vyuo ili kuzuia maambukizi ya corona,bado serikali imekaa kimya hadi wazazi na wanafunzi wanabaki kuulizana kuwa huenda siku zikaongezwa au wajiandae kurudi shule

Kuna wazazi na walezi ambao watoto wao wanasoma mikoani hivyo wanatakiwa kuwafanyia maandalizi kadha wa kadha na kuandaa usafiri mapema ili kuepuka adha za usafiri kama ilivyokuwa siku ya kufunga shule

Wazazi,walezi,wadau na wanafunzi wanaomba tamko rasmi kama shule na vyuo vitafunguliwa jumatatu ijayo ili wazazi wawaandae watoto wao mapema ama siku zitaongezwa

Tunaomba tamko la serikali mapema iwezekanavyo

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa.
Kufunga shule na chuo lilikuwa jambo la dharula lakini kufungua shule na vyuo hakupaswi kuwa jambo la dharula.

Kikubwa waziri mkuu alisema zifungwe kwa siku 30, hivyo tarehe 17/April itabakia pale pale kama siku ya kufungua unless kama ingetoa tamko lingine siku chache zilizopita. Kwa sasa serikali inapaswa kutoa tamko la msisitizo kuhusu hiyo tarehe ili kuonyesha msimamo wa awali.
 
Zikiwa zimebaki siku 4 muda kuisha wa serikali ambao walisitisha masomo kwa shule na vyuo ili kuzuia maambukizi ya corona,bado serikali imekaa kimya hadi wazazi na wanafunzi wanabaki kuulizana kuwa huenda siku zikaongezwa au wajiandae kurudi shule

Kuna wazazi na walezi ambao watoto wao wanasoma mikoani hivyo wanatakiwa kuwafanyia maandalizi kadha wa kadha na kuandaa usafiri mapema ili kuepuka adha za usafiri kama ilivyokuwa siku ya kufunga shule

Wazazi,walezi,wadau na wanafunzi wanaomba tamko rasmi kama shule na vyuo vitafunguliwa jumatatu ijayo ili wazazi wawaandae watoto wao mapema ama siku zitaongezwa

Tunaomba tamko la serikali mapema iwezekanavyo

Sent using Jamii Forums mobile app

Kumbe we dada mda mwingine unakuwaga na akili sana,! Aisee sikujuaga ka upo na mawazo makubwa kiasi hiki.

Hongera sana bebi cute, sitokudharau tena🙏

Leo umeandika kitu ya msingi sana!
Kumbe umekua eh
 
Nadhani ishara za wazi zonaonyesha shule hazitafunguliwa hivi karibuni.

Hostel za vyuo ndio kalantine, hawawezi kufungua vyuo vingine vikaachwa.

Waziri alisema wiki 2 kuanzia wiki hii ndio itatoa picha kamili ya hali ya maambukizi na ndio itawapa picha kama kuendelea au watu waendelee na maisha yao.

Bado hali haijaeleweka. Nadhani tuliwahi sana kufunga vyuo na mashule, sasa itatuchukua muda mrefu kurudi kawaida.
 
Warudi shule? Wakati sasa hivi mambukizi yameanza kuwa ya sisi kwa sisi. Nilisikia kwa mtu fulani kuwa huenda shule zinaweza kufunguliwa mwezi may kama hali itakuwa imetulia na kama bado basi wataendelea kukaa nyumbani until further notice.

Acha kukurupuka uwe unatumia akili nyingi kuelewa uzi wa mtu.

Mada inasema serikali itoe tamko je shule zinafunguliwa au hazifunguliwi.

Bavicha unafell wapi?
 
Nadhani ishara za wazi zonaonyesha shule hazitafunguliwa hivi karibuni.

Hostel za vyuo ndio kalantine, hawawezi kufungua vyuo vingine vikaachwa.

Waziri alisema wiki 2 kuanzia wiki hii ndio itatoa picha kamili ya hali ya maambukizi na ndio itawapa picha kama kuendelea au watu waendelee na maisha yao.

Bado hali haijaeleweka. Nadhani tuliwahi sana kufunga vyuo na mashule, sasa itatuchukua muda mrefu kurudi kawaida.
Nakubaliana nawe.. Tuliwahi funga kwa presha..
Watoto huku ni fujo tu..

Tumeshawachoka.
 
Acha kukurupuka uwe unatumia akili nyingi kuelewa uzi wa mtu.

Mada inasema serikali itoe tamko je shule zinafunguliwa au hazifunguliwi.

Bavicha unafell wapi?
Nilitaka nikujibu kiistarabu ila ulipongiza upumbavu wako wa siasa hata pasipohitaji siasa nimeona nikae kimya tu. Tutusa wewe..
Hivi huwa hamuwezi kuchangia bila kuingiza siasa zenu za hovyo?
 
Zikiwa zimebaki siku 4 muda kuisha wa serikali ambao walisitisha masomo kwa shule na vyuo ili kuzuia maambukizi ya corona,bado serikali imekaa kimya hadi wazazi na wanafunzi wanabaki kuulizana kuwa huenda siku zikaongezwa au wajiandae kurudi shule

Kuna wazazi na walezi ambao watoto wao wanasoma mikoani hivyo wanatakiwa kuwafanyia maandalizi kadha wa kadha na kuandaa usafiri mapema ili kuepuka adha za usafiri kama ilivyokuwa siku ya kufunga shule

Wazazi,walezi,wadau na wanafunzi wanaomba tamko rasmi kama shule na vyuo vitafunguliwa jumatatu ijayo ili wazazi wawaandae watoto wao mapema ama siku zitaongezwa

Tunaomba tamko la serikali mapema iwezekanavyo

Sent using Jamii Forums mobile app
Usiniambie wewe 7,800 ni mwalimu!
 
Wewe unahisi serikali inaweza kutangaza lockdown ya miezi 3 au 6. Si mtapanick mjikojolee.

Hapa ni mdogo mdogo mnapewa mwezi mmoja then wanaongeza wiki mbili then mwezi tena mpaka mwaka uishe wapate chanjo.

Siku chanjo ikipatikana mtaambiwa mchague kunyoa au kusuka. Kama wewe hutaki chanjo endelea kukaa ndani. Watakaokubali chanjo ndo maisha yataendelea kwao.

Sent From Galaxy S9
 
Kwanza naungana na wewe, ni pendekezo zuri.

Lkn pia tuanze na ss kwanza..
Hivi Km mzazi Wewe upo upande upi/unashauri nn?
Serikali ikasema warudi..

Utafurahia?
Utamrudisha sbb huna jinsi mtoto asije kua nyuma kimasomo?
Utamrudiaha sbb n amri ya serikali?
Utambakiza kwa maamuzi yako sbb unaogopa asijepata maambukizi?
Au utamrudisha mwanao shule akapate elimu kiroho safi, Sbb unahisi hatari sio kubwa km serikali ilivyo ona (if soo) na unaamini huko atakua salama? Boarding Schools.

Ila tukumbuke Mwisho wa siku yote yanakurudia wewe,
Iwe Elimu, iwe Maradhi.
 
Mwanangu haendi kokote. Bora arudie darasa
Hembu tuanza na ss kwanza..
Hivi Km mzazi Wewe upo upande upi/unashauri nn?
Serikali ikasema warudi..

Utafurahia?
Utamrudisha sbb huna jinsi mtoto asije kua nyuma kimasomo?
Utamrudiaha sbb n amri ya serikali?
Utambakiza kwa maamuzi yako sbb unaogopa asijepata maambukizi?
Au utamrudisha mwanao shule akapate elimu kiroho safi, Sbb unahisi hatari sio kubwa km serikali ilivyo ona (if soo) na unaamini huko atakua salama? Boarding Schools.

Ila tukumbuke Mwisho wa sikh yote yanakurudia wewe,
Iwe Elimu, iwe Maradhi.
 
Mkuu ni Jf, haihitaji hasira, ooohooo
Jifunze kujibu maada za kajamii pasi kuingiza siasa uchwara, ukiwa na tabia ya kuingiza mambo ya chadema na ccm hata katika nyuzi zisizohusiana na siasa watu watakuona wewe ni zuzu. Sisi wengine hatufungamani na chama chochote na hatuna mpango huo hivyo kuniingiza huko unanikwaza. Huu ni ushauti wangu, ukiiamua ufuate ukiona ni takataka utupe kwenye shimo la choo.
Mimi nilimjibu hivyo mleta mada kwa kuwa nilisoma wakati mods hawaja edit title ya uzi na baadhi ya content kwenye uzi wake.
 
Back
Top Bottom