mpima mstaafu
Senior Member
- Jul 7, 2018
- 131
- 238
Natoa Ushauri kwa Waziri wa Uchukuzi, Waziri wa Afya na SUMATRA kuwa kutokana na Tangazo la Waziri wa Afya kuwa tayari Tanzania ina mgonjwa wa Corona, nashauri kutokana na moja ya taadhali za ugonjwa huo ni kutokugusana, kukushikana, kupumuliana kwa karibu naomba hili la Mabasi yetu ya Mwendokasi na Daladala kujaza Abiria kupita kiasi liangaliwe.
Naomba Mabasi ya Mwendokasi na Daladala Abiria wawe wa KUKAA TU NA KAMA KUSIMAMA WASIZIDI 10 KWA MWENDOKASI NA 5 KWA DALADALA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba Mabasi ya Mwendokasi na Daladala Abiria wawe wa KUKAA TU NA KAMA KUSIMAMA WASIZIDI 10 KWA MWENDOKASI NA 5 KWA DALADALA.
Sent using Jamii Forums mobile app