Saint Anno II
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 4,079
- 14,158
Mawazo kama haya ukiyaendekeza bro utakuja ufe maskini wanao waje kukutukana pale wakiona watoto za waliotumia akili na juhudi zao wakifurahia maisha.Hapo ukitega li ndagu lako barabarani lazima uwe tajiri
Minoti kama yote ina miminika
Au nasema uongo nyie watu wa ule mkoa ?