Adult-Onsets Immunal Deficiency (AOI) umeripotiwa kuibuka katika nchi za Ulaya na kusambaa kwa kasi duniani.
Kuibuka kwa ugonjwa huo, kumesababisha hofu mpya katika nchi za Ulaya na Bara la Asia ambako wagonjwa wengi zaidi wameonekana kuathiriwa na ugonjwa huo.
Ugonjwa huu umegunduliwa na Dk Sarah Browne wa Taasisi ya Mzio na Magonjwa ya Kuambukiza ya nchini Marekani (NIAID) ambaye aliongoza timu ya wanasayansi walioendesha utafiti husika.
CHANZO: GUMZO LA JIJI