- Thread starter
- #21
Huyu Bibi nilikuwa nikimuona wa Kawaida nikiwa mdogo Tukiishi jirani,sikuwa nikijua kuwa ni Icon kutokana na anavyoheshimika duniani.
Yupo hai na huwa anakuwa nchini na kwao Uingereza. Kuhusu mambo ya HIV ndo leo nasikia.mbona km vile alikufa kwa accident ya ndege zamani?
aliingilia anga za PK wakamtengeneza.