Jana zimemwagwa hela hapa mbeya kila mwenye shahada alikuwa anapewa 10,000/=

Ulanziwang'ombe

Senior Member
Sep 3, 2012
134
10
Ndugu wanajf jana jioni ilikuwa siku ya mavuno zimemwagwa hela eneo lablock"t" na maendeleo kwa ajili ya kuhonga vijana wamchague mgombea wa ccm. Ilikuwa ukionyesha shahada tu unapewa elfu kumi. Vijana wamepokea hela lakini wanasema kula ccm kulala cdm. Tunasubiri matokeo jioni itakuwaje?
 
Ndugu wanajf jana jioni ilikuwa siku ya mavuno zimemwagwa hela eneo lablock"t" na maendeleo kwa ajili ya kuhonga vijana wamchague mgombea wa ccm. Ilikuwa ukionyesha shahada tu unapewa elfu kumi. Vijana wamepokea hela lakini wanasema kula ccm kulala cdm. Tunasubiri matokeo jioni itakuwaje?

hongera kwa uzushi hakuna hela yeyote aliyotolewa bali kama kawaida yao madwanda alieneza vitisho lakini ccm safari wamejizatiti kwani wameshatembeza mkongoto kwa magamba baada ya kugundua mbinu chafu.rafiki yangu hunipasha kila kinachoendelea huko mbeya.
 
hongera kwa uzushi hakuna hela yeyote aliyotolewa bali kama kawaida yao madwanda alieneza vitisho lakini ccm safari wamejizatiti kwani wameshatembeza mkongoto kwa magamba baada ya kugundua mbinu chafu.rafiki yangu hunipasha kila kinachoendelea huko mbeya.

sasa kaka mimi nimeshuhudia jana kwa macho yangu hapa block "t" balozi akimwagiza kijana awakusanye vijana wenye shahada na wakakusanyika walikuwa 9 wakagawiwa sh. 10,000/= wewe uko huko mbali mimi nipo hapa block't' na nilifika mpaka maendeleo halafu unasema ni uzushi. Ukitaka meza usipotaka tema lakini huo ndio ukweli wenyewe.
 
Pesa chukueni na kura wanyimeni.
CCM ni chama cha mataahira watupu, wanadhani watu wote ni wajinga kama wao.
 
Back
Top Bottom