Jana sukari imepanda bei

ndege JOHN

JF-Expert Member
Aug 5, 2015
19,556
44,735
Kwa mfuko wa TPC wa kilo 50 ulikuwa unauzwa 117000 Mwezi uliopita Mwezi huu bei ikafikia 120000.

Jana jioni naenda kununua nakuta ni 123000 hivyo kuna ongezeka la 6000 that means kama madukani tulikuwa tunauza 2500 kwa kilo itabidi bei iwe 2700 au 2800.

Pia na tambi zimepanda sana Santa Lucia ilikuwa 21000 sasa hivi 24000.za Mo ilikuwa 19000 sasa hivi 21000..imekaaje hii wakuu kuelekea Mwezi wa Ramadhani.
 
Eheee hiii ni kweli kabisa jana kuna mtu alikua analalamika kuuziwa sukari 2800.

Hivi ngoja niulize inamaana bidhaa ikipanda bei na ile iliyopo dukani iliyokua imenunuliwa kwa bei pungufu ni halali ipande?
 
Kwa mfuko wa TPC wa kilo 50 ulikuwa unauzwa 117000 Mwezi uliopita Mwezi huu Bei ikafikia 120000 Jana jioni naenda kununua nakuta Ni 123000 hivyo kuna ongezeka la 6000 that means kama madukani tulikuwa tunauza 2500 kwa kilo itabidi Bei iwe 2700 au 2800..pia na tambi zimepanda Sana santa Lucia ilikuwa 21000 Sasa hivi 24000.za Mo ilikuwa 19000 Sasa hivi 21000..imekaaje hi wakuu kuelekea Mwezi wa ramadhani
Wabongo mnapenda sana anasa sukari ya nini? Kwanza siyo afya kutumia sukari.
 
Huo muda wa kutumia sukari mnautoa wapi?
Tumia akili..sukari ni bidhaa ya Kwanza na muhimu wapiga gongo, wapika mandazi n.k wanaitegemea..ndo maana nakwambia hujui mambo ya uchumi kaa kwa kutulia
 
Tumia akili..sukari Ni bidhaa ya Kwanza na muhimu wapiga gongo,wapika mandazi n.k wanaitegemea..ndo maana nakwambia hujui mambo ya uchumi kaa kwa kutulia
Mbona mnapenda kuendekeza anasa kwa kutumia vitu vitamuvitamu ambavyo havina tija na afya mwilinini.

Huo muda wa anasa wa kutumia sukari mnautoa wapi ambapo taifa linapitia wakati mgumu kiuchumi baada ya mwendazake ku
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom