imani emanuel yonafika
Member
- Jan 11, 2018
- 62
- 90
Haha huo ndio mukasa jaman elim bure mkasome
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ShunieInawezekana mkuu
AbeehShunie
Kujirinda = kujilindaJana majira ya jioni saa 12 hivi kama SAA hii nilipita kwenye bar Fulani mjini hapa kama demu wangu kwambali labla macho yanashida nikasogea kumbe ni yeye tena yuko na mhuni mmoja wanamenya vyombo demu kumuuliza vipi ulinidanganya hunywi na pia humenyi na wahuni alinijibu kunyaah pia akaniita jina baya sana ambalo kila mwanaume .....analichukia...gay...nadhani mshalijua) nikamshika mkono kwa nguvu akaning'ata nikamwachia akaniambia akiwa na zimba lake niwe mupole nikataka kumpa Kofi jamaa akaingilia akaanza kuzirusha namm kujirinda nikahanza kupigana tukipigana pale na demu alipotea nashukulu mungu nilimtandika sana akunizuru japo simu yangu ikavunjika kioo SAA ikapotea lakini kichapo alikula watu walivokuja kuamua wakatushauri tuondoke waniambia ondoka haraka kabula hawajaja waasikari utapata shida nikapakia bodaboda nikakimbia nilimwacha jamaa pale akidai atanifanya mbaya sijui liloendelea nimefika home nijiuliza nimfuate na yule demu wangu nimpe kipigo kwa kunidhalilisha afu namwacha tangu leo
Huo ndio mukasa fungua Mwaka 2018
Tanzaniya!Mimi ni mu tanzaniya halisi
Sikujua kama JF ni ya Watanzania pekeeBado kuna wahamiaji haramu nchini
Nimescreenshot hii post yake nikinuna nafungua gallery nacheka kidogoUandishi unachekesha kuliko story
wewe nawe utakuwa muhamiaji haramuSikujua kama JF ni ya Watanzania pekee
Kwel unajijua mwenyeweJapo utacheka nimepigana kisa demu lakini akili yangu naijua Mimi mwenyewe