URBAN MONKEY
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 720
- 1,327
Kupigana na mwanaume mwenzako kisa demu ni ufala
bora angekuwa mkeo huyo manzi
bora angekuwa mkeo huyo manzi
Heri my man. Achana na huyo malaya. Usipoteze muda wako ku fight over a chick ambae ni player, calm down. Temana nae, dont look for her wala nini.
that chick atarud, atakutafuta aki hope umesahau. Now from there hit her you can make your revenge. For now calm down man
Dah....safi sana...dem nilimtamani kitambo sana...nilivyoona mibwege inapigana....nikamvuta tukadandia bodaboda...akaenda kunipa tundaJana majira ya jioni saa 12 hivi kama SAA hii nilipita kwenye bar Fulani mjini hapa kama demu wangu kwambali labla macho yanashida nikasogea kumbe ni yeye tena yuko na mhuni mmoja wanamenya vyombo demu kumuuliza vipi ulinidanganya hunywi na pia humenyi na wahuni alinijibu kunyaah pia akaniita jina baya sana ambalo kila mwanaume .....analichukia...gay...nadhani mshalijua) nikamshika mkono kwa nguvu akaning'ata nikamwachia akaniambia akiwa na zimba lake niwe mupole nikataka kumpa Kofi jamaa akaingilia akaanza kuzirusha namm kujirinda nikahanza kupigana tukipigana pale na demu alipotea nashukulu mungu nilimtandika sana akunizuru japo simu yangu ikavunjika kioo SAA ikapotea lakini kichapo alikula watu walivokuja kuamua wakatushauri tuondoke waniambia ondoka haraka kabula hawajaja waasikari utapata shida nikapakia bodaboda nikakimbia nilimwacha jamaa pale akidai atanifanya mbaya sijui liloendelea nimefika home nijiuliza nimfuate na yule demu wangu nimpe kipigo kwa kunidhalilisha afu namwacha tangu leo
Huo ndio mukasa fungua Mwaka 2018
Jana majira ya jioni saa 12 hivi kama SAA hii nilipita kwenye bar Fulani mjini hapa kama demu wangu kwambali labla macho yanashida nikasogea kumbe ni yeye tena yuko na mhuni mmoja wanamenya vyombo demu kumuuliza vipi ulinidanganya hunywi na pia humenyi na wahuni alinijibu kunyaah pia akaniita jina baya sana ambalo kila mwanaume .....analichukia...gay...nadhani mshalijua) nikamshika mkono kwa nguvu akaning'ata nikamwachia akaniambia akiwa na zimba lake niwe mupole nikataka kumpa Kofi jamaa akaingilia akaanza kuzirusha namm kujirinda nikahanza kupigana tukipigana pale na demu alipotea nashukulu mungu nilimtandika sana akunizuru japo simu yangu ikavunjika kioo SAA ikapotea lakini kichapo alikula watu walivokuja kuamua wakatushauri tuondoke waniambia ondoka haraka kabula hawajaja waasikari utapata shida nikapakia bodaboda nikakimbia nilimwacha jamaa pale akidai atanifanya mbaya sijui liloendelea nimefika home nijiuliza nimfuate na yule demu wangu nimpe kipigo kwa kunidhalilisha afu namwacha tangu leo
Huo ndio mukasa fungua Mwaka 2018
Muwage mnaangalia na madem aisee wa kuoa..Hapo alikuwa naangalia angekaa mkao ningemwoa
mkuu una ikumbuka sheria hiyo unayo isema? kuna kipengere kina sema kuwa kuna muda ukiishi na mwanamke, ina hesabika kuwa mmeoana hata kama hamja enda kanisani, msikitini wala kwa mkuu wa wilaya...!Mwanamke ambaye hujamuoa wala kumtolea mahari, huna mamlaka naye kisheria. Tena wewe ndio mwenye makosa kuingila uhuru wa wenzio.
Mkongoman!Aiseee mkuu we sio mbongo eenh
Inawezekana mkuuMkongoman!