mtoto wa mchungaji
JF-Expert Member
- Oct 24, 2020
- 279
- 480
Kikeke alimuuliza swali repota wake kutoka Dar kuwa huyo rais wa Zambia je unadhani atashirikiana na viongozi wengine wa vyama tawala ambavyo ni vya ukombozi akiwa na maana vyama kama CCM, ZANU PF na ANC.
Jamaa wa BBC akajibu kuwa ni swali zuri sana hila siwezi lijibu mpaka tuje tumuone mwenyewe kwani hawa viongozi wa kiafrika wanabadirika badilikaga sana, na kutolea mfano Rais wa Malawi kuwa juzi katika ziara yake Uingereza alibeba familia yake yote wakiwemo wakwe,wajomba, babawadogo, mashangazi na mashemeji zake kwenda ziara Uingereza na hata kuwaacha wataalamu kama katibu wa wizara ya mambo ya nje ambaye si ndugu.
Hii vile vile inafanana na makamu wa kwanza wa Rais wa Zimbabwe ni marehemu Tshangilai yeye alivyoteuliwa katika ule muhafaka na Mugabe hakuwai kuonekana wala kusikika ama kutetea au kuchangia tu yale aliyokuwa akisema atayafanya kutokana na ugumu wa maisha ya Zimbabwe. Badala yake watu walimwona tu akisababisha foleni kubwa katika miji ya Bulawayo na Harale kwa misafara yake ya magari wazimbabwe walibaki midomo wazi.
Na tabia kamahizi zimewai pia kuonekana kwa Mwaikibaki wa Kenya, Chiluba hata yule aliyemtoa Mzee banda Malawi na wengine wengi.
Vipi mna chochote cha kuchangia kuhusu upinzani wa Afrika?
Jamaa wa BBC akajibu kuwa ni swali zuri sana hila siwezi lijibu mpaka tuje tumuone mwenyewe kwani hawa viongozi wa kiafrika wanabadirika badilikaga sana, na kutolea mfano Rais wa Malawi kuwa juzi katika ziara yake Uingereza alibeba familia yake yote wakiwemo wakwe,wajomba, babawadogo, mashangazi na mashemeji zake kwenda ziara Uingereza na hata kuwaacha wataalamu kama katibu wa wizara ya mambo ya nje ambaye si ndugu.
Hii vile vile inafanana na makamu wa kwanza wa Rais wa Zimbabwe ni marehemu Tshangilai yeye alivyoteuliwa katika ule muhafaka na Mugabe hakuwai kuonekana wala kusikika ama kutetea au kuchangia tu yale aliyokuwa akisema atayafanya kutokana na ugumu wa maisha ya Zimbabwe. Badala yake watu walimwona tu akisababisha foleni kubwa katika miji ya Bulawayo na Harale kwa misafara yake ya magari wazimbabwe walibaki midomo wazi.
Na tabia kamahizi zimewai pia kuonekana kwa Mwaikibaki wa Kenya, Chiluba hata yule aliyemtoa Mzee banda Malawi na wengine wengi.
Vipi mna chochote cha kuchangia kuhusu upinzani wa Afrika?