jebs2002
JF-Expert Member
- Sep 3, 2008
- 8,824
- 7,593
Hahahaha...Mwisho wa siku utamuona naye yupo kwenye kongamano la wanawake wasiolewa.
Hawa mama zetu kazi ipo, mara nyingi tupo mstari wa mbele kuwalaani baba zetu, ila ukifuatilia kwa ndani mara zote utakuta chimbuko la matatizo yao ni kina mama, tatizo mtoto washindwa kukaa upande wa baba sababu wamuonea huruma mama, ila ni issue..