sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,030
Uvumililivu ulinishinda kiukweli.
Yani jamaa nilimkopa Novemba 28, kaja mikono nyuma kichwa chini na sauti ya kinyonge nikamkopa kiasi alichohitaji.
Baada ya kumaliza shida zake mshahara wake akapokea ila kimya, nilimwinda sana lakini nikimpigia hapokei, nikituma sms hajibu, whatsapp status akanizimia, nyumbani kwake akaanza kurudi usiku kunikwepa, n.k
Siku zote mtu nayemkopa mara nyingi inabidi niwe namjua na niwe na muweza ikija kutokea ubaya.
Jana, nimefikiria sana mambo ya ada ya mwanangu bila mafanikio nisijue pa kuitoa.
Nilichofanya nikampigia simu jirani wa nayemdai aniambie kama yupo, akasema yupo, huyo nikachukua kigari changu mpaka kwa jamaa.
Yani nimefika kwake sura ya mbuzi.
Akaanza maneno mimi nafanya vitendo, nilichukua tv (samsung inaenda kwenye laki 7 huko), laptop yake (ni hizi macbook zinaenda hadi milion 2), pasi, vikombe, sahani za udongo, kingamuzi, blanketi, n.k
Usiku ikawa anaomba msamaha kanicheleweshea na maneno mengi.
Leo asubuhi saa tano, nimepata muamala wangu vizuri kabisa, nikamwambia aje achukue takataka zake.
Kaja home kachukua ishu zake kaondoka, jioni ndio kaniomba msamaha wa kunizungusha mi nimemsamehe ila siji kusahau.
Shubamiti
Yani jamaa nilimkopa Novemba 28, kaja mikono nyuma kichwa chini na sauti ya kinyonge nikamkopa kiasi alichohitaji.
Baada ya kumaliza shida zake mshahara wake akapokea ila kimya, nilimwinda sana lakini nikimpigia hapokei, nikituma sms hajibu, whatsapp status akanizimia, nyumbani kwake akaanza kurudi usiku kunikwepa, n.k
Siku zote mtu nayemkopa mara nyingi inabidi niwe namjua na niwe na muweza ikija kutokea ubaya.
Jana, nimefikiria sana mambo ya ada ya mwanangu bila mafanikio nisijue pa kuitoa.
Nilichofanya nikampigia simu jirani wa nayemdai aniambie kama yupo, akasema yupo, huyo nikachukua kigari changu mpaka kwa jamaa.
Yani nimefika kwake sura ya mbuzi.
Akaanza maneno mimi nafanya vitendo, nilichukua tv (samsung inaenda kwenye laki 7 huko), laptop yake (ni hizi macbook zinaenda hadi milion 2), pasi, vikombe, sahani za udongo, kingamuzi, blanketi, n.k
Usiku ikawa anaomba msamaha kanicheleweshea na maneno mengi.
Leo asubuhi saa tano, nimepata muamala wangu vizuri kabisa, nikamwambia aje achukue takataka zake.
Kaja home kachukua ishu zake kaondoka, jioni ndio kaniomba msamaha wa kunizungusha mi nimemsamehe ila siji kusahau.
Shubamiti