Kweli mkuuAdministrator naomba sasa hv watu wanaotaka kujiunga jamii forum lazima wawe na miaka 18 na kuendelea na awe anajua tofauti kati ya fasibuku na jamii forum
Ila ni kweli mkuuAdministrator naomba sasa hv watu wanaotaka kujiunga jamii forum lazima wawe na miaka 18 na kuendelea na awe anajua tofauti kati ya fasibuku na jamii forum
Na watu kama wewe wanatakiwa kuchunguzwa kabla hawajajiunga JF, maana huwezi hata kutofautisha kati ya Jukwaa la Siasa na Jukwaa la Jokes...Administrator naomba sasa hv watu wanaotaka kujiunga jamii forum lazima wawe na miaka 18 na kuendelea na awe anajua tofauti kati ya fasibuku na jamii forum
Wew utakuwa umetoka fesibuku.Administrator naomba sasa hv watu wanaotaka kujiunga jamii forum lazima wawe na miaka 18 na kuendelea na awe anajua tofauti kati ya fasibuku na jamii forum
Hivi kuna mtandao unaitwa fasibuku au ndo facebook kwa KisukumaAdministrator naomba sasa hv watu wanaotaka kujiunga jamii forum lazima wawe na miaka 18 na kuendelea na awe anajua tofauti kati ya fasibuku na jamii forum
Ha ha ha ha... sometime uwe unajiongeza... ili ndio tatizo watoto kujiunga na jamii forum.... kaa ukijua jamii forum wengi wana jitambua... so neno kama hlo sio mtu hajui kuandika facebook.. sometime rubbish things was wrtten by rubbish wordsHivi kuna mtandao unaitwa fasibuku au ndo facebook kwa Kisukuma