Njowepo
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 9,710
- 2,226
If I am wrong someone to criticize me please.
Naona kama jana ndo ilikuwa mwisho wa kutangaza ushindi kwa majimbo ambayo yamechukuliwa na wapinzani.
Je ni agizo toka NEC kwa wasimamizi kuwa waliopatikana wanatosha au it has just happened by coincidence.
Mind you the more delays are made unless there is a mass pressure lazima ushindi uende CCM
Naona kama jana ndo ilikuwa mwisho wa kutangaza ushindi kwa majimbo ambayo yamechukuliwa na wapinzani.
Je ni agizo toka NEC kwa wasimamizi kuwa waliopatikana wanatosha au it has just happened by coincidence.
Mind you the more delays are made unless there is a mass pressure lazima ushindi uende CCM