shadownet
Senior Member
- Aug 4, 2015
- 133
- 674
Ndani ya muda mfupi kumekuwa na mchanganyiko wa matukio kadha na kadha, mara mc pili pili kawekwa ndani, hatujakaa sawa tupo kwenye simazi la kumpoteza tajiri na hii leo kumekua na kimbunga huko mitandanoni kwa video ya mauno yanayoaminika ni ya kichungaji...
JE KWA HALI HII MLEVI WA TAIFA ATABAKI KUWA JUU KILELENI???
JE KWA HALI HII MLEVI WA TAIFA ATABAKI KUWA JUU KILELENI???