Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 6,802
- 8,644
Nasfi yangu imenishuudia ivoHahahahah ..kwanin mkuu
Nasfi yangu imenishuudia ivoHahahahah ..kwanin mkuu
😂😂😂Ilibidi nile kwanza maana nilikua na njaa ya ajabu
Tumeshapita huko tumeacha tabia mbaya kwa kifup...yaan huko tumeacha ..sasa hiv tumekua..tushazichakata had tumezikinaiNa unakuwaje na demu mmoja?
Wanaume wa mikoani bhana daah
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Kununa muhimu mkuu siunaona ngoma imejibuKama amekuomba msamaha na amejirudi oa tu ndugu yangu, wadada wa sikuhizi hakuna kuomba msamaha, ukizingua anasepa zake na hawana shida ya kuolewa!
Hili nakumbia wazi bila kuficha! Hakuna mambo ya kuombana misamaha. Na huwa nashangaa mwanaume unanuna? Why? Ushenzi tu usiokuwa na maana! Nyauuu wanunaji wote
Dunia hadaa ulimwengu shujaa!