BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,160
Hahaha
Uanaume unaonyeshw kwa kupiga wake zenu eeeh?
Hahahaha
Hahahaaaaa
Basi sawa....
Uanaume unaonyeshw kwa kupiga wake zenu eeeh?
Hahahaha
Hahahaaaaa
Basi sawa....
Makofi hayaleii wala kumrekebisha mwanamke,
Japokuwa wanaudhi sana hawa watu.
That's why I love you adolay unajua thamani ya mwanamke na jinsi ya kumtunzia heshima yake hata kama amekosea vipi,
Kipigo hutuletea chuki ya kudumu usije kunipiga my love
Ndivyo tunavyobembelezwa mke hapigwi kwa ngumi na mateke anapigwa kwa....Wewe tena....maishani siwezi inanua chochote juu ya mwili wako kwa lengo la kukupiga
Nakuheshimu sana, ujuwe mama yangu nimwanamke naelewa uchungu wa mama aujuwae mwana....Mtoto kwa mama hakuwi
Relux my kapeace together forever
Umekosea kumbembeleza kama kweli alikukosea
Ndivyo tunavyobembelezwa mke hapigwi kwa ngumi na mateke anapigwa kwa....
Love you
Mke nisehemu muhimu ya maisha ya mume na mume nisehemu muhimu ya maisha ya mke
Mmoja kumsononesha mwengine haipaswi kwa kisingizio au sababu yoyote ile
50/50
Siwezi kukupiga nikijuwa kufanya hivo nikujipiga nakujiumiza mwenyewe. Kumpiga mke nikama kujitonesha kidonda kiume zaidi.
With my Kapeace hapana sithubutu