Jana katika kipindi cha tuzungumze magazeti cha asubuhi kuna Wadada wawili walikuwa wanaendesha kipindi hiki, badala ya kusoma vichwa vya habari walianza na matani, mazungumzo yasiyo ya msingi na kufannya kipindi kutokuwa na ufanisi. Ninawauliza viongozi wa Star TV ndiyo mafunzo mnayotoa kwa waendesha vipindi. Kwa kweli ilikuwa ni aibu. Mubadilike.