Jana ilikuwa siku ya Furaha kukutana na Graduate anachoma mahindi Barabarani

Kuna kizazi mimi nimekipachika jina kwa kiingereza kinaitwa " Lost Generation" hawa ni vijana walio maliza vyuo kati ya 2010 na sasa. Mara baada ya mtikisiko wa kiuchumi wa 2008 na 2009,hakuna ajira za maana zimepatikana hapa Tanzania kutoka serikalini au sekta binafsi....hivyo kuna vijana wengi sana mtaani ambao bado wana lelewa kwa ndugu na jamaa zao hata baada ya kupata shahada zao. Hiki kizazi ndo kina shabikia tumbua tumbua ya vyeti wakidhani wao wataneemeka kwa kupata nafasi hizo.....kimantiki serikali haina uwezo wa kuajiri zaidi ya wafanyakazi 50000 kwa mara moja. Sekta binafsi ambayo inatarajiwa kutoa angalau nafuu nayo iko katika hali mbaya sana kwa sasa....hivyo wale wanao shangilia ndugu zao wanapokosa ajira wasishangae kuendelea kudunda mitaani. Ahadi za wanasiasa sisi wakubwa zenu tuna zifahamu mno...wakati wazee wetu wakipitiwa na Fyagio La Chuma....enzi za Mwinyi wengi ya hao vijana walikuwa bado wana jisaidia kinyesi cha njano.....Tafuteni mbinu mbadala

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna kizazi mimi nimekipachika jina kwa kiingereza kinaitwa " Lost Generation" hawa ni vijana walio maliza vyuo kati ya 2010 na sasa. Mara baada ya mtikisiko wa kiuchumi wa 2008 na 2009,hakuna ajira za maana zimepatikana hapa Tanzania kutoka serikalini au sekta binafsi....hivyo kuna vijana wengi sana mtaani ambao bado wana lelewa kwa ndugu na jamaa zao hata baada ya kupata shahada zao. Hiki kizazi ndo kina shabikia tumbua tumbua ya vyeti wakidhani wao wataneemeka kwa kupata nafasi hizo.....kimantiki serikali haina uwezo wa kuajiri zaidi ya wafanyakazi 50000 kwa mara moja. Sekta binafsi ambayo inatarajiwa kutoa angalau nafuu nayo iko katika hali mbaya sana kwa sasa....hivyo wale wanao shangilia ndugu zao wanapokosa ajira wasishangae kuendelea kudunda mitaani. Ahadi za wanasiasa sisi wakubwa zenu tuna zifahamu mno...wakati wazee wetu wakipitiwa na Fyagio La Chuma....enzi za Mwinyi wengi ya hao vijana walikuwa bado wana jisaidia kinyesi cha njano.....Tafuteni mbinu mbadala

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaa mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani kinachotusumbua hapa ni dharau ya kazi( kuchoma mahindi) ila tungesema ameenda kufundisha analipwa 150,000 kwa mwezi kwenu ingekua sawa wala msingesema sijui sio profeshn yake ila kuingiza 300,000 kwa mwezi kwa kuchoma mahindi si sawa...kwani ishu ni ujuzi, kuvaa tai au kipato??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwakweli Jana nilijawa na furaha tele baada ya hapa Arusha kukutana na Graduate alie somea mambo ys IT anachoma mahindi.

Niliongea naye kwa kifupi sana ingawa nime mpromise kumtafuta tuongee zaidi.
Jamaa kaamua kuweka vyeti pembeni ni baada ya kutuma application nyingi bila mafanikio.

Kaamua kuondoa uoga na aibu na kwa sasa anapata mafanikio na nina amini hata Mungu yuko upande wake. Mungu huwa hayuko upande wa watu wenye aibu na waoga. Jamaa anakusanya mtaji hivyo kwa alicho somea si kwamba kaacha bali kuchoma mahindi ni kukusanya mtaji wa yeye kufanya mambo makubwa zaidi.


AIBU NA UOGA NDO MUHIMILI MKUU WA KUTO FANIKIWA.
e271eaa5f73352f5806d84d872d9d290.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
Graduate anachoma mahindi, picha muhindi uliochomwa ukiwa ndani ya gari
 
Akitaka kuiona faida vizuri alime shamba la mahindi
Au awe mnunuzi wa yakishavunwa, mara nyingi wanaolima au kuchimba mali jasho lawatoka, wale wanaonunua kikishavunwa au kuchimbwa ndio maneno, ila nimependa, ningependa kujijuwa zaidi anachoma mangapi kwa siku, anauza mangapi, baada ya expenses anabakiwa na shs, ngapi kwa siku? Waweza kuta anatengeneza hela ya kujikimu nzuri tu aise...
 
Au awe mnunuzi wa yakishavunwa, mara nyingi wanaolima au kuchimba mali jasho lawatoka, wale wanaonunua kikishavunwa au kuchimbwa ndio maneno, ila nimependa, ningependa kujijuwa zaidi anachoma mangapi kwa siku, anauza mangapi, baada ya expenses anabakiwa na shs, ngapi kwa siku? Waweza kuta anatengeneza hela ya kujikimu nzuri tu aise...
Hii biashara mkuu imemtoa kimaisha kijana ninaemfahamu. Yeye alipata shamba kando ya mto hivyo alikuwa na uhakika wa kusupply mwaka mzima na alilima na shamba lingine
 
Ila JF unaweza dhani watu wote wakishua humu,kuna watu wamenunua boda boda na pesa wanazopewa na madereva wao hazifiki hata 10000 kwa siku.Huyo graduate naimani anapata zaidi ya bodaboda,mimi binafsi ni moja ya kundi kubwa lililoko mtaani baada ya kukosa ajira,niliyeamua kujiajiri shughuri ninayoifanya nazungusha mtaji wa 30000-35000 kwa siku na sikosi 10000(hapa nimeongelea minimum),mfano mzuri kuna mdada ninaye fahamiana nae nilimkuta anatembeza karanga(mbichi) nikaanza kumuonea huruma,ila baada ya kuongea nae anapata return isiyopungua (20000) kwa siku,pesa ambayo muda mwingi siifikishi,...so msizarau kazi za watu kama hamjui return zao kiundani.
 
Ila JF unaweza dhani watu wote wakishua humu,kuna watu wamenunua boda boda na pesa wanazopewa na madereva wao hazifiki hata 10000 kwa siku.Huyo graduate naimani anapata zaidi ya bodaboda,mimi binafsi ni moja ya kundi kubwa lililoko mtaani baada ya kukosa ajira,niliyeamua kujiajiri shughuri ninayoifanya nazungusha mtaji wa 30000-35000 kwa siku na sikosi 10000(hapa nimeongelea minimum),mfano mzuri kuna mdada ninaye fahamiana nae nilimkuta anatembeza karanga(mbichi) nikaanza kumuonea huruma,ila baada ya kuongea nae anapata return isiyopungua (20000) kwa siku,pesa ambayo muda mwingi siifikishi,...so msizarau kazi za watu kama hamjui return zao kiundani.

Mkuu umeongea vyema sana. siku zote faida ipo katika biashara hizi ndogo ndogo. kuna hii biashara ya Popcorn, daah najuta y sikuifahamu zamani. nilikuwa naichukulia poa kumbe watu wanagonga faida nzuri sana. kiasi kwamba ukiwa na mashine 2 zipo sehemu nzuri, unauhakika wa kugonga 300000 per day hapo umetoa mshahara wa vijana wanaokusimamia. naongea kutokana na experience ya jamaa yangu aliyefanya hii kitu. so mwache mtu akudharau na gari lake la mkopo na kuamshwa asubuhi kila siku kutimiza ndoto za mtu ila wewe unauhakika wa kuingiza mashahara wake wote ndani ya wiki mbili.
 
sishauri MTU mwenye ujuzi wa IT akachome mahindi kwa nchi kama Tanzania ambayo teknolojia bado very poor so fursa za kujiajiri kwa IT zimejaa kibao, fani ya IT kujiajiri ni very simple coz mtaji wake ni mdogo sana yani unahitaji laptop na internet only so haizidi hata laki tano, kingine cha muhimu zaidi ni ujuzi na ubunifu hapo ndipo wengi hawana. wengi wana degree za copy paste ndo maana maisha yanawashinda mtaani. so Huyo jamaa anayechoma mahindi mimi namuona kama kilaza tu mvivu wa kufikiri.

halafu kuchoma mahindi sio ujasiriamali bali kaiga biashara tu hyo unless awe anayachoma in digital way.

Maendeleo kwa nchi kama yetu bado yatakua ndoto coz professionals wanaacha professional zao na wanafanya mambo yasiyohitaji utaalamu sasa hayo ya utaalamu akayafanye nani? nchi kama south africa, Nigeria ziko mbali sana africa coz of IT wanaitumia ipasavyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sishauri MTU mwenye ujuzi wa IT akachome mahindi kwa nchi kama Tanzania ambayo teknolojia bado very poor so fursa za kujiajiri kwa IT zimejaa kibao, fani ya IT kujiajiri ni very simple coz mtaji wake ni mdogo sana yani unahitaji laptop na internet only so haizidi hata laki tano, kingine cha muhimu zaidi ni ujuzi na ubunifu hapo ndipo wengi hawana. wengi wana degree za copy paste ndo maana maisha yanawashinda mtaani. so Huyo jamaa anayechoma mahindi mimi namuona kama kilaza tu mvivu wa kufikiri.

halafu kuchoma mahindi sio ujasiriamali bali kaiga biashara tu hyo unless awe anayachoma in digital way.

Maendeleo kwa nchi kama yetu bado yatakua ndoto coz professionals wanaacha professional zao na wanafanya mambo yasiyohitaji utaalamu sasa hayo ya utaalamu akayafanye nani? nchi kama south africa, Nigeria ziko mbali sana africa coz of IT wanaitumia ipasavyo

Sent using Jamii Forums mobile app
Tafuta Video ya Jack Ma wa Alibaba akiwa Nairibi sikiliza hadi mwisho na baadae nazani utarudu kufuta hii coment yako.

What is IT? na IT ina kuwa applicable wapi?

Elimu zetu ni za ajabu vibaya mno.

IT inaweza kuwa applicable hata kwenye biashara ya ukahaba mkuu. Mtu anaweza maliza masomo ya IT akaneda kuwa Kahaba ili apate pesa lakini akagundua kwamba anaweza tumia IT yake kufanya ukahaba kuwa wa kisasa ziadi.

Tusha mezeshwa kwamba IT ni komputa ni kukaa ba laptop ufisini

Madhara ya elimu za kukaririshwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sishauri MTU mwenye ujuzi wa IT akachome mahindi kwa nchi kama Tanzania ambayo teknolojia bado very poor so fursa za kujiajiri kwa IT zimejaa kibao, fani ya IT kujiajiri ni very simple coz mtaji wake ni mdogo sana yani unahitaji laptop na internet only so haizidi hata laki tano, kingine cha muhimu zaidi ni ujuzi na ubunifu hapo ndipo wengi hawana. wengi wana degree za copy paste ndo maana maisha yanawashinda mtaani. so Huyo jamaa anayechoma mahindi mimi namuona kama kilaza tu mvivu wa kufikiri.

halafu kuchoma mahindi sio ujasiriamali bali kaiga biashara tu hyo unless awe anayachoma in digital way.

Maendeleo kwa nchi kama yetu bado yatakua ndoto coz professionals wanaacha professional zao na wanafanya mambo yasiyohitaji utaalamu sasa hayo ya utaalamu akayafanye nani? nchi kama south africa, Nigeria ziko mbali sana africa coz of IT wanaitumia ipasavyo

Sent using Jamii Forums mobile app
Ellumu zetu ni majanga.

Tusha aminishwa kwamba ukisoma my be Procurement basi nenda kawe afisa ugavi.

Ukisoma Udakitari basi nenda kawe Dakitari.

Yaani hatujui na hatujawahi jua kwamba Daktari anaweza kuwa mkulima na akatumia elimu yake hasa ya maswala ya lishe au Magonjwa kuzalisha aina ya vyakula vyenye virutubisho.

Elimu zetu zinatuagiza tukafanye vile tulivyo elekezwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sishauri MTU mwenye ujuzi wa IT akachome mahindi kwa nchi kama Tanzania ambayo teknolojia bado very poor so fursa za kujiajiri kwa IT zimejaa kibao, fani ya IT kujiajiri ni very simple coz mtaji wake ni mdogo sana yani unahitaji laptop na internet only so haizidi hata laki tano, kingine cha muhimu zaidi ni ujuzi na ubunifu hapo ndipo wengi hawana. wengi wana degree za copy paste ndo maana maisha yanawashinda mtaani. so Huyo jamaa anayechoma mahindi mimi namuona kama kilaza tu mvivu wa kufikiri.

halafu kuchoma mahindi sio ujasiriamali bali kaiga biashara tu hyo unless awe anayachoma in digital way.

Maendeleo kwa nchi kama yetu bado yatakua ndoto coz professionals wanaacha professional zao na wanafanya mambo yasiyohitaji utaalamu sasa hayo ya utaalamu akayafanye nani? nchi kama south africa, Nigeria ziko mbali sana africa coz of IT wanaitumia ipasavyo

Sent using Jamii Forums mobile app
pale unapojiona una akili sana kumbe ni bonge la kilaza.

sent from tekno ya shilingi elfu saba na mia tano.
 
Tafuta Video ya Jack Ma wa Alibaba akiwa Nairibi sikiliza hadi mwisho na baadae nazani utarudu kufuta hii coment yako.

What is IT? na IT ina kuwa applicable wapi?

Elimu zetu ni za ajabu vibaya mno.

IT inaweza kuwa applicable hata kwenye biashara ya ukahaba mkuu. Mtu anaweza maliza masomo ya IT akaneda kuwa Kahaba ili apate pesa lakini akagundua kwamba anaweza tumia IT yake kufanya ukahaba kuwa wa kisasa ziadi.

Tusha mezeshwa kwamba IT ni komputa ni kukaa ba laptop ufisini

Madhara ya elimu za kukaririshwa

Sent using Jamii Forums mobile app
soma vizuri nimekuambia kuchoma mahindi kama mahindi sio ujasiriamali unless kama unayachoma in digital way, kwani hapo umeelewaje hyo sentensi???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ellumu zetu ni majanga.

Tusha aminishwa kwamba ukisoma my be Procurement basi nenda kawe afisa ugavi.

Ukisoma Udakitari basi nenda kawe Dakitari.

Yaani hatujui na hatujawahi jua kwamba Daktari anaweza kuwa mkulima na akatumia elimu yake hasa ya maswala ya lishe au Magonjwa kuzalisha aina ya vyakula vyenye virutubisho.

Elimu zetu zinatuagiza tukafanye vile tulivyo elekezwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
hujaelewa wala suala hapa ni kutumia elimu uliyosimea hata kama utaitumia chooni, sikubaliani na MTU kusoma degree IT halafu akachome mahindi kama wale wamama wa barabarani, Ila kama ukichoma mahindi kwa kutumia hyo IT Hamna shida yeyote kwa sababu unaleta mapinduzi katika kuchoma hayo mahindi, Ila kama unachoma tu kwa kutumia wavu ya kuyauza mia mbili mia mbili na eti una degree ya IT bas wewe ni full kilaza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hujaelewa wala suala hapa ni kutumia elimu uliyosimea hata kama utaitumia chooni, sikubaliani na MTU kusoma degree IT halafu akachome mahindi kama wale wamama wa barabarani, Ila kama ukichoma mahindi kwa kutumia hyo IT Hamna shida yeyote kwa sababu unaleta mapinduzi katika kuchoma hayo mahindi, Ila kama unachoma tu kwa kutumia wavu ya kuyauza mia mbili mia mbili na eti una degree ya IT bas wewe ni full kilaza

Sent using Jamii Forums mobile app
wasomi kwenye ubora wao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom