Jana ilikuwa siku ya Furaha kukutana na Graduate anachoma mahindi Barabarani

CHASHA FARMING

JF-Expert Member
Jun 4, 2011
7,789
8,912
Kwakweli Jana nilijawa na furaha tele baada ya hapa Arusha kukutana na Graduate alie somea mambo ys IT anachoma mahindi.

Niliongea naye kwa kifupi sana ingawa nime mpromise kumtafuta tuongee zaidi.
Jamaa kaamua kuweka vyeti pembeni ni baada ya kutuma application nyingi bila mafanikio.

Kaamua kuondoa uoga na aibu na kwa sasa anapata mafanikio na nina amini hata Mungu yuko upande wake. Mungu huwa hayuko upande wa watu wenye aibu na waoga. Jamaa anakusanya mtaji hivyo kwa alicho somea si kwamba kaacha bali kuchoma mahindi ni kukusanya mtaji wa yeye kufanya mambo makubwa zaidi.


AIBU NA UOGA NDO MUHIMILI MKUU WA KUTO FANIKIWA.
e271eaa5f73352f5806d84d872d9d290.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
IT ameshindwa kujiongeza hata akaanza kutengeneza simu?
Umeelwa nilicho andika mkuu au umeanza kwa coment kwanza? swala la mtaji ni shida na hapo ni moja ya sehemu ya kukusanya mtaji.

By the way kwan IT hawezi choma mahindi? au unazania ni watu gani wanapaswa kuchoma mahindi?

Na ni watu gani wanakula hayo mahindi?

Kama mtu wa law anaenda kuwa Bank teller why mtu w IT asichome mahindi?

Unajua kwa siku anaingiza how much?

UOGA NA AIBU NDO MUHIMILI MKUU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeelwa nilicho andika mkuu au umeanza kwa coment kwanza? swala la mtaji ni shida na hapo ni moja ya sehemu ya kukusanya mtaji.

By the way kwan IT hawezi choma mahindi? au unazania ni watu gani wanapaswa kuchoma mahindi?

Na ni watu gani wanakula hayo mahindi?

Kama mtu wa law anaenda kuwa Bank teller why mtu w IT asichome mahindi?

Unajua kwa siku anaingiza how much?

UOGA NA AIBU NDO MUHIMILI MKUU

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu inaonekana huna idea na biashara.
Yan kuchoma maindi unaweza kukusanya mtaji?????
Na apo ukiwa unajitegemea kila kitu

Mkuu utatafuta mchawi wakati mchawi ni akili zako
Piga kwanza hesabu kwa siku anakusanya faida kiasi gan toa matumiz yake ya kila siku.
Uyo graduator kapote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Somo kubwa la kujivunza hapa ni kutokuwa na uoga na aibu!!
Ila kukusanya mtaji kwa kuchoma mahindi, huduma zingine za kimaisha anaziendesha vipi na anasevu kiasi gani??!!
 
Back
Top Bottom